Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

1067 results for Peter Elias :

  1. Wakurugenzi wastaafu MCL wanavyomkumbuka Mtukufu Aga Khan

    Watendaji wakuu wastaafu wa Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL) wamemwelezea aliyekuwa kiongozi mkuu wa madhehebu ya Ismailia duniani, Mtukufu Aga Khan kama kiongozi aliyetumia...

  2. Vita DRC vyaacha kilio kwa wafanyabiashara Tanzania

    Inaelezwa kuwa malori karibu 100 yakiwa na shehena za mizigo yaliyotoka hapa nchini yamekwama DRC huku mengine yakishindwa kuvuka mpaka kutokana na hali ya usalama ilivyo.

  3. PRIME Vigogo CCM wanavyopambana na ‘No reform, No election’ ya Lissu

    Kaulimbiu ya Chadema ya “No Reform, No Election” imewaibua vigogo wa CCM ambao kwa nyakati tofauti wameizungumzia majukwaani wakiipinga huku wakieleza kwamba haina maana na kama wana hoja waende...

  4. PRIME VIDEO: Kigogo Chadema ajipanga kupigania sheria ya wazee

    Amesema Sera ya Wazee imekuwepo tangu mwaka 2003, sasa miaka 22 imepita sheria hiyo ikiwa bado haijatungwa, ndiyo maana anaona wazee wakiendelea kudhalilika, kuuawa, kutotendewa haki, kukosa...

  5. Odero: Kura moja niliyopata ina thamani kubwa, namshukuru aliyenipigia-VIDEO

    Aliyekuwa mgombea uenyekiti wa Chadema katika uchaguzi wa Januari 21, 2025, Odero Charles Odero, amemshukuru mjumbe aliyempigia kura kwenye uchaguzi huo huku, akisema kura hiyo ina thamani kubwa...

  6. PRIME Lema ataja kiini cha tatizo Chadema, Mnyika azungumza

    Ni dhahiri Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kinapitia kwenye nyakati ngumu zinazotishia mustakabali wa chama hicho kikuu cha upinzani nchini.

  7. PRIME Hii ndiyo safu mpya ya uongozi CUF

    Zikiwa zimepita wiki tatu tangu kufanyika kwa uchaguzi wa Chama cha Wananchi (CUF), Baraza Kuu la Uongozi limewachagua viongozi wapya wa sekretarieti ya chama hicho watakaohudumu kwa miaka mitano...

  8. PRIME Ahadi tano za Trump akiingia White House

    Kuanzia Januari 20 baada ya kuapishwa, Trump anarejea tena madarakani akiwa na nguvu ya kutekeleza ahadi alizozitoa kwa wananchi wa Marekani wakati wa uchaguzi na kufanikiwa kumshinda Kamala...

  9. PRIME Wanavyoubeba mustakabali Chadema baada ya uchaguzi

    Wawili hao pamoja na wafuasi wao wamekuwa wakitupiana maneno, kila upande ukijaribu kuonyesha uzuri wa mgombea wao huku ikionyesha udhaifu wa mwingine, na katika mchakato huo, wakati mwingine...

  10. Fedha za Mfuko wa Jimbo zafungua barabara za mitaa Ifakara

    Wakazi wa Kata ya Mlabani Halmashauri ya Mji wa Ifakara, wilayani Kilombero, wameipongeza Serikali kwa kutenga fedha na hatimaye kuchonga barabara mpya zitakazounganisha mitaa yao.

Previous

Page 7 of 107

Next