Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

1132 results for Hadija Jumanne :

  1. Kesi ya mwigizaji Nicole, mwenzake mahakamani tena leo

    Kesi ya Uhujumu uchumi inayomkabili Msanii wa uigizaji Joyce Mbaga (32) maarufu Nicole Berry na mwenzake Rehema Mahanyu (31), itatajwa leo Jumatatu Machi 24, 2025 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi...

  2. Mrundi jela miezi mitatu kwa uongo, kuvunja sheria

    Kabla ya kutolewa kwa hukumu hiyo, mshtakiwa alisomewa mashtaka yake na Wakili wa Serikali Hadija Masoud.

  3. Waliomba kazi TRA, kufanyiwa usaili hapa

    Watu 112,952 wameitwa kwenye usaili wa mchujo wa kuandika (Written Interview), baada ya kukidhi vigezo vya maombi ya ajira katika nafasi 1596 zilizotangazwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania( TRA).

  4. Dk Kijaji azindua Bodi ya TVLA, ataka ithibati ya chanjo iharakishwe

    Dar es Salaam. Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Dk Ashatu Kijaji, ameitaka Bodi ya Ushauri ya Wakala wa Maabara ya Veterinari Tanzania (TVLA) kuhakikisha wanakamilisha mchakato wa kupata cheti cha...

  5. Mahakama yaelezwa kinachoendelea kesi ya kuchana mamilioni ya noti

    Katika kesi ya uhujumu uchumi inayowakabiliwa washtakiwa 13, wakiwemo waliokuwa watumishi wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), umeieleza Mahakama kuwa bado wanaendelea na uchunguzi dhidi ya kesi hiyo.

  6. Halotel yazindua huduma kuimrisha usalama wa wateja wake

    Hatua hiyo inatokana na kufanya maboresho makubwa kwa kutumia teknolojia ya kisasa kuhakikisha kuwa utapeli unaotumiwa na watu ambao sio waaminifu unazuilika.

  7. PRIME Usichokijua kuhusu ulaji wa uyoga na maajabu yake

    Kama ulikuwa hufahamu, uyoga una nyuzi nyuzi nyingi na hauna mafuta wala chumvi ya sodiamu.

  8. Walioingilia mfumo ya benki, kujipatia Sh2 bilioni wakosa dhamana

    Raia wa Ghana, Valentine Kofi (45) na Watanzania watatu, wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakikabiliwa na mashtaka manne likiwemo la kuingilia mfumo wa benki na kuiba...

  9. PRIME Kinachoendelea kuhusu dhamana ya mwigizaji Nicole, mwenzake

    Mwigizaji, Joyce Mbaga (32) maarufu Nicole Berry na mwenzake Rehema Mahanyu (31), mpaka sasa wanaendelea kusota mahabusu.

  10. Aliyejifanya daktari Muhimbili, jela miezi sita

    Mahakama ya mwanzo Kariakoo, imemuhukumu John Batebuye (26) kifungo cha miezi sita jela baada ya kupatikana na hatia ya kujifanya mtumishi wa Serikali wakati akijua kuwa ni uongo.

Previous

Page 8 of 114

Next