Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

1263 results for Herieth Makwetta :

  1. Ripoti: Wanawake wanaolea watoto peke yao wanakabiliwa na umasikini

    Ripoti mpya ya Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) kuhusu mwelekeo wa jinsia katika ajira, imebainisha kuwa wanawake waliotalikiana, walioachika au wajane wanakumbwa na changamoto kubwa za kiuchumi...

  2. Suluhu yatajwa uhaba madaktari bingwa, wabobezi Zanzibar

    Dar es Salaam. Wizara ya Afya Zanzibar, imetaja mikakati ya kukabiliana na uhaba tiba za kibobezi na madaktari bingwa na bobezi, huku ikikaribisha wawekezaji katika sekta ya afya visiwani humo...

  3. PRIME Hii hapa mikao hatari kwa afya yako

    Ni kwa nini kuna wagonjwa wengi? Sababu ni nyingi, lakini mojawapo ni namna watu tunavyoishi maisha yetu ya kila siku.

  4. Haya hapa majiji, miji misafi zaidi Tanzania

    Halmashauri ya jiji la Tanga, imetajwa kuongoza kwa usafi kwa kupata asilimia 83.2 ya alama zote. Ikishindanishwa na halmashauri sita za majiji zilizopo nchini.

  5. Mabadiliko yanukia sekta ya afya

    Dar es Salaam. Serikali imezindua rasmi mfuko wa ufadhili wa Rais Samia Suluhu Hassan (Samia Scholarship Fund) utakaokuwa endelevu, kwa ajili ya kutoa mafunzo ya ubingwa na ubobezi kwa wataalamu...

  6. PRIME Utafiti wabaini masalia ya dawa za ARV kwenye kuku, nguruwe

    Wakati utafiti ukibaini uwepo wa masalia ya dawa za kufubaza Virusi vya Ukimwi (ARV) kwenye nyama na damu za kuku wa kisasa, nguruwe na vyakula vya mifugo, vyama vya wafugaji vimeitaka Serikali...

  7. PRIME Mbege, kiburu vyatajwa kuimarisha kinga ya mwili

    Utafiti uliofanywa na Chuo Kikuu Kishiriki cha Tiba, KCMC wataja faida ya kiburu, mbege katika kuimarisha kinga ya mwili.

  8. PRIME Janabi ataja vipaumbele vyake WHO, akisisitiza Azimio la Abuja

    Mgombea wa Tanzania kwa nafasi ya Mkurugenzi wa Kanda wa Shirika la Afya Duniani (WHO) kwa Afrika, Profesa Mohammed Janabi, amewasilisha maono yake kwa nafasi hiyo, akisisitiza dhamira yake ya...

  9. WHO kupunguza wafanyakazi, bajeti kwa asilimia 20

    Shirika la Afya Duniani (WHO) linapanga kupunguza idadi ya wafanyakazi na kiwango cha kazi, huku likipunguza bajeti yake kwa zaidi ya asilimia 20 kutokana na athari za kupunguzwa kwa ufadhili wa...

  10. Madaktari wa kike hatarini kujiua

    Leo Machi 30 dunia ikiadhimisha siku ya madaktari duniani, Ripoti mpya inaonyesha madaktari wa kike wana uwezekano wa asilimia 76 zaidi ya kufariki dunia kwa kujiua ikilinganishwa na wanawake...

Previous

Page 8 of 127

Next