Pacha wa kike waliojijengea umaarufu kwa kazi ya upagazi Mlima Kilimanjaro
Pacha Enjolight na Heavenlight Mafuwe (33), wakazi wa Kijiji cha Uduru, Wilaya ya Hai, mkoani Kilimanjaro, wameondoa dhana kwamba kazi ngumu, hususan zinazohitaji msuli na ustahimilivu ni za...