Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

696 results for Rehema Matowo :

  1. Tusifumbie macho tatizo la vifaatiba kutotumika, kisa umeme

    Wakati Serikali ikifanya juhudi za kuhakikisha wananchi wanapata huduma bora karibu kwa kujenga vituo, kuajiri watumishi na kuhakikisha dawa zinapatikana, wapo wanaosababisha wananchi waendelee...

  2. PRIME Vilio, simanzi vyatawala miili saba ya wanafunzi ikiagwa

    Vilio na simanzi vimetawala katika viwanja vya Shule ya Sekondari Businda wakati miili saba ya wanafunzi waliopoteza maisha kwa kupigwa na radi ikiagwa leo Alajsi Januari 30, 2025 kabla ya kwenda...

  3. Wanafunzi waliofariki dunia kwa radi waagwa Geita

    Mamia ya wakazi wa Wilaya ya Bukombe mkoani Geita wamejitokeza katika viwanja vya shule ya sekondari Businda kwa ajili ya kuwaaga wanafunzi saba waliopoteza maisha kwa kupigwa na radi Januari 27,...

  4. PRIME Simulizi mwanafunzi aliyepigwa radi Bukombe

    Edward amesema kwa sasa hali yake inaendelea vizuri japo ana maumivu kidogo ya mwili.

  5. Radi yaua wanafunzi saba, yajeruhi 82 wakiwa darasani Geita

    Mkuu wa wilaya amesema kwamba, baada ya tukio hilo, madaktari walifika haraka shuleni hapo.

  6. Mahakama za mwanzo Geita kuendeshwa kidijitali

    Ili kupunguza gharama za uendeshaji na kutunza kumbukumbu Mahakama zote za mwanzo mkoani Geita zinatarajia kuanza rasmi kutumia mfumo wa Tehama) ifikapo Machi mwaka huu.

  7. Miradi 901 yasajiliwa nchini mwaka 2024

    Dk Mahenge amesema kuongezeka kwa miradi hiyo kumetokana na kuboreshwa kwa mazingira ya uwekezaji kunakofanywa na Serikali kwa kushirikiana na TIC.

  8. Jela miaka 15 kwa kumuua mkewe bila kukusudia

    Amedai baada ya mkewe kukataa mshtakiwa alitoa panga alilokuwa ameficha kwenye nguo na kuanza kumshambulia nalo sehemu mbalimbali za mwili ikiwemo kichwani, shingoni na kwenye mikono hali...

  9. CCM yakerwa ujenzi wa barabara kusuasua Geita

    Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Geita, kimekerwa na kasi ndogo ya ujenzi wa barabara za mradi wa Tactic zenye urefu wa kilomita 17 zinazojengwa kwa kiwango cha lami katika Manispaa ya Geita...

  10. BoT yanunua dhahabu ya Sh400 bilioni kwa miezi mitatu

    Motisha inayotolewa na Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kwa wafanyabiashara wa dhahabu, ikiwa ni pamoja na ununuzi wa dhahabu kwa bei ya soko la dunia, kuondolewa kwa tozo ya ukaguzi na punguzo la...

Previous

Page 8 of 70

Next