Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

412 results for Peter Akaro :

  1. Mambo sita ya kushangaza kuhusu Rayvanny

    Alianza kama msanii wa Rap kama ilivyokuwa kwa Aika wa Navy Kenzo, Lady Jaydee, Diamond Platunumz, Dayna Nyange na wengineo, baadaye akageukia uimbaji hadi kuivutia WCB Wasafi iliyomsaini na...

  2. Kwenye mafanikio ya Mbosso, Rich Mavoko kahusika

    Alifanya vizuri tangu alipoibuka Mkubwa na Wanae kupitia Yamoto Band na akaendelea kutamba baada ya kusainiwa na WCB Wasafi, kwa kipindi chote Mbosso amejikusanyia mashabiki kibao kutokana na...

  3. Kofia ya Yemi Alade yahamia kwa Zuchu

    Mwanamuziki Zuchu ametimiza miaka mitano tangu alipotambulishwa katika rekodi lebo ya WCB Wasafi yake Diamond Platnumz ambayo imetengeneza majina ya mastaa wakubwa ndani ya Bongofleva tangu 2015.

  4. Ukimya wa Alikiba unavyorudi na mikwaju mizito

    Ni miezi sita sasa bila Alikiba kutoa wimbo mpya lakini sio jambo geni bali ni utamaduni wake kwa miaka nenda rudi, ni mara kadhaa amewahi kujipa mapumziko na baadaye ujio wake unakuwa wa...

  5. Chioma akinuna Davido hatoboi kwenye muziki

    Mkali wa Afrobeats kutokea Nigeria, Davido amefunguka kuhusu nguvu kubwa ya ushawishi aliyonayo mkewe Chioma katika maisha yake binafsi na kazi yake ya muziki akisema mambo huwa hayaendi sawa...

  6. PRIME Sura tano tofauti za Hamisa Mobetto

    Jina la Hamisa Mobetto si maarufu Tanzania pekee bali Afrika Mashariki yote kutokana na kazi zake na mtindo wake wa maisha ambao unatolewa macho na vijana wengi na hata kuteka mazungumzo...

  7. Harmonize anavyotumia kivuli cha Diamond kupiga hela

    Licha ya ugomvi wao miaka ya hivi karibuni, hilo haliondoi ukweli kuwa Staa wa Konde Music Worlwide, Harmonize anamtazama Diamond Platnumz kama mfano wa kuigwa (role model) katika muziki...

  8. Oliver Mtukudzi na kisa cha dhiki za Neria

    Miongoni mwa nyimbo maarufu za Oliver Mtukudzi duniani ni ule uitwao 'Neria' ambao aliuandika maalumu kwa ajili ya kutumika katika filamu (Soundtrack) inayokwenda kwa jina hilo (Neria) iliyotoka...

  9. Zari kwa Diamond hakumuacha mtu salama 

    Kulingana na hali ya sasa tunaweza kusema kuwa Zari 'The Bosslady' Hassan alifanikiwa sana kuwaweka chini ya ulinzi Wema Sepetu, Hamisa Mobetto na Tanasha Donna katika ile vita ya kupigania...

  10. Hichi ndicho Nandy kamzidi Billnass

    Ni miaka 10 sasa jina la Billnass limekuwa likizunguka katika Bongofleva akitoa ngoma kali, huku silaha yake kubwa ikiwa ni uwezo wa kutengeneza ladha (melodic rap) ya kipekee ambayo imefanya...

Previous

Page 9 of 42

Next