Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

696 results for Rehema Matowo :

  1. Sababu watoto wachanga kupata manjano

    Katika nchi zinazoendelea inakadiriwa asilimia 51 ya watoto wanaozaliwa wanapata manjano na vifo vinakadiriwa kuwa 100,000 kwa nchi za Kusini mwa Jangwa la Sahara, huku watoto zaidi ya 63,000...

  2. PRIME Simulizi ya mchungaji anayeishi na VVU kwa zaidi ya miaka 39

    “Mume wangu alipoteza maisha 1998, mtoto wangu wa tatu akafa mwaka 1999 hali yangu ilikua mbaya sana mwili ulidhoofika, nikawa na upele kila mahali, nywele zote kichwani zilinyonyoka, kikawa...

  3. Diwani wa CCM Geita afariki dunia

    Ni miezi minne imepita tangu diwani mwingine wa baraza hilo, Peter Kulwa aliyekuwa akisumbuliwa na ugonjwa wa kisukari apoteze maisha.

  4. Mtoto anusurika kifo baada ya kuchomwa na petroli

    Mwanafunzi wa darasa la tatu katika Shule ya Msingi Kasota, Kata ya Bugulula Wilaya ya Geita (9) amejeruhiwa kwa kuchomwa moto kwa kutumia petroli na mama yake mzazi (jina linahifadhiwa).

  5. Tasac yaonya usalama wa vyombo vya majini, yatoa elimu

    Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (Tasac) Mkoa wa Geita, limewatahadharisha wadau wote wa vyombo vya usafiri na wavuvi wanaotumia Ziwa Victoria, kufuatilia taarifa za hali ya hewa kabla ya...

  6. Wavuvi Ziwa Victoria watakiwa kufuatilia taarifa za hali ya hewa

    Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (Tasac), Mkoa wa Geita limewatahadharisha wadau wote wa vyombo vya usafiri na wavuvi wanaotumia Ziwa Victoria kufuatilia taarifa za hali ya hewa kabla ya...

  7. Kizungumkuti cha majina kutopangwa kunavyowapa ugumu wapigakura

    Mbeya. Pamoja na mchakato wa uchaguzi kuendelea kwa amani jijini hapa, baadhi ya wapiga kura wameeleza changamoto ya majina kutopangwa kwa mtiririko wa herufi (alfabeti), hali iliyosababisha...

  8. Askofu Kassala: Serikali izitazame changamoto za watoto wenye ulemavu

    Askofu wa Jimbo Katoliki Geita, Dk Flavian Kassala ameitaka Serikali kuziangalia na kuzitatua changamoto zinazowakabili watoto wenye ulemavu zinazowafanya kukosa elimu kama watoto wengine.

  9. Mahakama yapokea vielelezo kesi ya mauaji ya Salome

    Mahakama Kuu Kanda ya Geita, imepokea vielelezo vinne vilivyotolewa na upande wa jamhuri katika kesi ya mauaji inayomkabili Fikiri Kapala na mwenzake Agustino Jumanne wanaodaiwa kumuua Salome...

  10. Mwendokasi chanzo ajali iliyoua, kujeruhi 10 Geita

    Geita. Mwendokasi na dereva wa gari binafsi aina ya Kluger kutozingatia sheria za usalama barabarani imetajwa kuwa chanzo cha ajali iliyotokea eneo la Mpomvu Kata ya Mtakuja mjini Geita, na...

Previous

Page 9 of 70

Next