Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

886 results for Florah Temba :

  1. Ujenzi daraja lililovunjika Same wafikia asilimia 95

    Ujenzi wa Daraja la Mpirani lililovunjika na kusababisha kukatika kwa mawasiliano ya barabara katika Barabara Kuu ya Same-Mkomazi, Wilaya ya Same Mkoani Kilimanjaro umefikia asilimia 95.

  2. Njia ya ndege yasitisha ujenzi mnara wa mawasiliano Uru, wananchi waja juu

    Wananchi wa Kata ya Uru Shimbwe, Wilaya ya Moshi, mkoani Kilimanjaro, wamelalamikia kusitishwa kwa ujenzi wa mnara wa mawasiliano uliokuwa unajengwa, hali inayowafanya kuendelea kuishi katika...

  3. Daraja lililovunjika Same kujengwa usiku na mchana

    Kuvunjika kwa daraja hilo kumekata mawasiliano katika barabara kuu ya Same-Mkomazi, Same mkoani Kilimanjaro.

  4. Mawasiliano Same bado baada ya daraja kukatika

    Mawasiliano ya barabara kuu ya Same-Mkomazi, wilayani Same, Mkoa wa Kilimanjaro yameendelea kukwama kwa siku ya pili, mamlaka husika zikiendelea kutafuta ufumbuzi.

  5. Wadaiwa kuharibu gari la polisi mkesha wa mwaka mpya

    Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, linawashikilia watu wanne kwa tuhuma za kufanya vurugu na kuharibu gari la polisi lililokuwa likifanya doria usiku wa kuamkia Januari Mosi, 2025.

  6. PRIME Mzee Mechili asimulia safari ya miaka 75 ya ndoa

    Taasisi ya ndoa imekuwa ikikumbwa na changamoto nyingi katika miaka ya hivi karibuni, hali inayosababisha ndoa nyingi kuvunjika mapema.

  7. Waliofariki kwa kuangukiwa na gema Same wazikwa, DC atoa neno

    Same. Watu watatu waliofariki dunia baada ya kuangukiwa na gema wilayani Same, Mkoa wa Kilimanjaro, wamezikwa, huku Mkuu wa Wilaya hiyo, Kasilda Mgeni, akiwataka wananchi wanaoishi maeneo ya...

  8. Moshi yafurika, wafanyabiashara walia hali ngumu

    Hali hii imeongeza msongamano mkubwa wa watu na magari kwenye barabara kuu za mji huo.

  9. Sita wafariki dunia kwa kuangukiwa na gema, kusombwa na mafuriko Same

    Kaimu Kamanda wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Kilimanjaro, Mkaguzi Msaidizi Jeremiah Mkomagi amesema matukio hayo yametokea usiku wa Desemba 20, 2024.

  10. Siri Wachaga kwenda 'kuhesabiwa' mwisho wa mwaka

    Utamaduni huu umeufanya mkoa huo, kujipatia umaarufu mkubwa, katika kipindi cha Desemba, ambapo watu wa jamii ya wachaga walioko maeneo mbalimbali nchini na nje ya nchi, hurudi nyumbani ili...

Previous

Page 10 of 89

Next