Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

696 results for Rehema Matowo :

  1. Mmoja afariki, 10 wajeruhiwa ajali ya magari kugongana Geita

    Amesema majeruhi wawili wamehamishiwa Hospitali ya Mkoa wa Geita kutokana na hali zao kuwa mbaya, wakijeruhiwa zaidi maeneo ya miguu na tumbo.

  2. Kizungumkuti ujenzi wa lambo la Sh64 milioni

    Mwenyekiti wa Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Mji wa Geita, Costantine Morand, ameiomba Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) kuchunguza ujenzi wa lambo la maji linaloendelea...

  3. Wananchi walia nyani kuvamia makazi, kuiba ‘misosi’ Geita

    Ili kumaliza changamoto hiyo, amesema tayari wamewasiliana na Taasisi ya Utafiti wa Wanyamapori Tanzania (Tawiri) ili kuwahamisha nyani hao na kuwapelekea kwenye hifadhi ya Moyowosi.

  4. Sh422 milioni kukamilisha miradi ‘viporo’ ya CSR

    Kuhusu miradi ya mwaka 2022/23, utekelezaji wake unaendelea ipo miradi ambayo tayari imekamilika.

  5. Takukuru yabaini kasoro mifumo ya sekta ya afya

    Miongoni mwa kasoro katika mifumo ya sekta ya afya ni maabara za binadamu kutoa huduma bila kusajiliwa, wajawazito kutakiwa kubeba glavu na mipira ya kitandani

  6. Upinzani wadai kuchezewa rafu serikali za mitaa, wengine wafurahia uteuzi

    , Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Mohamed Mchengerwa aliwataka wagombea ambao hawajateuliwa na wana mapingamizi wayawasilishwe ndani ya siku mbili tangu uteuzi...

  7. Sababu Geita kukumbwa na mafuriko zatajwa

    Uchunguzi uliofanywa na kamati ya maafa ya Wilaya ya Geita umebaini chanzo cha mafuriko yaliyotokana na mvua iliyonyesha kwa saa moja ni ujenzi kwenye njia za asili za kupita maji na uchafu...

  8. Auawa madai ya kufumaniwa na mke wa mtu, mkewe asema..

    Jesca Emanuel, mkazi wa Bugalama akisimulia maisha yake na mumewe wakati akiwa hai amedai waliishi na mumewe vizuri lakini toka Agosti mwaka huu alihama nyumbani na kudai amerudi kwa mama yake..

  9. VIDEO: Mvua yasababisha mafuriko Geita, 15 waokolewa

    Kamanda wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Geita, Hamis Dawa amesema mvua hiyo imesababisha baadhi ya maeneo kujaa maji huku nyumba za maeneo ya Mtaa wa Mbugani zikizingirwa na maji.

  10. Ahukumiwa miaka mitano jela kwa jaribio kuua

    Mahakama Kuu Masjala Ndogo ya Geita imemhukumu kifungo cha miaka mitano jela Matokeo Petro (34), mkazi wa Bukombe mkoani Geita baada ya kutiwa hatiani kwa kosa la jaribio la kutaka kumuua...

Previous

Page 10 of 70

Next