Msaga Sumu aruhusiwa kutoka hospitali Mwanamuziki wa Singeli nchini Msaga Sumu ameruhusiwa kutoka Taasisi ya Tiba na Mifupa, Upasuaji wa Ubongo na Mishipa ya Fahamu (MOI), baada ya kupata ajali ya gari wakati akirejea Dar es salaam...
Mavokali atapeliwa na kampuni ya Uingereza, adanganywa kolabo ya Beyonce, Shakira Meneja wa mwanamuziki Mavokali, Jembe One ameweka wazi hali ya kiafya ya msanii wake kwa kusema alipatwa na tatizo la afya ya akili ingawa kwa sasa anaendelea vizuri.
Ricardo Momo atia neno ishu ya D Voice kumuibia wimbo Meja Kunta Meneja na msemaji wa wasanii wa Lebo ya WCB, Mohamed Salum ‘Ricardo Momo’ amezungumzia sakata la mwanamuziki wa singeli Meja Kunta kudai kuvujishiwa wimbo D Voice na kumpatia Jux.
DJ asiyeona anavyokimbiza kwenye matamasha Bongo Muziki unapopigwa na umati kuanza kucheza kwa furaha, si rahisi mtu kufikiria mara mbili kuhusu nani aliyesimama nyuma ya vifaa vya DJ na punde anapogundua kuwa aliyenyuma ya vifaa hivyo haoni...
Msaga Sumu apata ajali, alazwa MOI kwa matibabu Msanii huyo anatarajiwa kuendelea na matibabu hadi atakapopata nafuu kamili, huku mashabiki wake wakimtakia uponaji wa haraka kupitia mitandao ya kijamii.
Cassie aendelea kuanika mapya akitoa ushahidi kesi ya Diddy Akihitimisha siku ya pili ya kutoa ushahidi katika kesi ya inayomkabili Sean "Diddy" Combs. Mwanamuziki Cassie Ventura alilia kwa uchungu huku akifichua kwamba aliwahi kufikiria kujitoa uhai...
Harmonize akanusha kumdai Ibraah Sh1 bilioni Mwanamuziki Harmonize amekanusha kauli ya aliyekuwa msanii wake Ibraah ya kumdai kiasi cha Sh1 bilioni, ili aweze kutoka lebo ya ‘Konde Gang’.
Msanii Cassie aibua mazito akitoa ushahidi kesi ya P Diddy Msanii Casandra “Cassie” Ventura aliyewahi kuwa mpenzi Sean “Diddy” Combs jana Mei 13,2025 alitoa ushahidi dhidi ya kesi zinazomkabili Diddy huku mrembo huyo akieleza jinsi alivyoteseka...
'Wondermind' ya Gomez yadaiwa kufilisika Kampuni ya kusaidia matatizo ya Afya ya Akili iliyoanzishwa na mwanamuziki na mwigizaji Selena Gomez inadaiwa ipo mbioni kufilisika, hii ni baada ya kuondoa wafanyakazi tisa mapema wiki hii...
Mijadala muziki wa singeli, waasisi waeleza chimbuko lake “Nataka tuweke nguvu kwenye muziki. Kwanza muziki huu ambao ni wa aina yake singeli, leo ikipigwa Brazil, Peru, na India ina mridimo na msisimko wa aina yake kwa wale Waafrika maelfu na...