Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

58 results for Denis Sinkonde :

  1. Chongolo atoa maagizo kwa DC mpya Mbozi

    Mkuu huyo wa wilaya, aliteuliwa na Rais Samia Suluhu Hassan Januari 24, 2025, kuchukua nafasi ya Ester Mahawe, aliyefariki dunia hivi karibuni.

  2. Mpango kupima ardhi wasitishwa Songwe

    Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Songwe limesitisha kazi ya upimaji wa ardhi iliyokuwa likiendelea katika baadhi ya kata wilayani humo.

  3. Mgambo akamatwa Tunduma akijifanya trafiki

    Jeshi la Polisi Mkoa wa Songwe linamshikilia Bangros Sikaluzwe (37), mkazi wa Ilolo, Wilaya ya Mbozi mkoani Songwe kwa tuhuma za kujifanya askari wa Jeshi la Polisi Tanzania.

  4. Mama mbaroni akidaiwa kuwaua wanawe wawili

    Jeshi la Polisi Mkoa wa Songwe linamshikilia Junge Jilatu (28) na wenzake wawili, wakazi wa Kijiji cha Namsinde, Kata ya Mkulwe, Tarafa ya Kamsamba kwa tuhuma za mauaji ya watoto wake wawili.

  5. Mawakala wa vyama vya siasa waonywa kuingilia uandikishaji wapigakura

    Maafisa uandikishaji ngazi ya kata wilaya ya Ileje wakila kiapo cha kusimamia zoezi la uandikishaji daftari la mpiga kura linalotarajia kuanza hivi karibuni,Picha na Denis Sinkonde

  6. ‘Ukijiandikisha mara mbili daftari la wapigakura, kifungo na faini’

    Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imewataka wananchi kujiepusha kujiandikisha mara mbili au kutoa taarifa za uongo wakati wa uboreshaji wa daftari la kudumu la wapigakura, kwa kuwa ni kosa...

  7. Wenyeviti wa vijiji, vitongoji Songwe waonywa kutokuwa chanzo cha migogoro

    Viongozi wa vitongoji, vijiji na serikali za mitaa mkoani Songwe waliochaguliwa hivi karibuni wameonywa kutokuwa chanzo cha migogoro kwenye maeneo yao na kwamba watakaobainika wataondolewa.

  8. Nane wajeruhiwa ajali ya moto wakiangalia mechi ya Yanga

    Walikuwa wakiangalia mpira katika dukani, lakini moto ulipozuka walitoka na kujaribu kuuzima, hata hivyo waliungua wakati wakijaribu kuuzima.

  9. Mwili wa mwanafunzi wa Rucu aliyeuawa wazikwa Ileje, baba ataka uchunguzi

    Ameiomba Serikali kupitia Jeshi la Polisi kufanya uchunguzi kuwabaini na kuwakamata wahusika wote ili sheria ifuate mkondo wake na kukomesha vitendo hivyo.

  10. Wanasheria 50 watua Songwe kutatua changamoto za walionyimwa haki

    Songwe. Jumla ya wataalamu wa kisheria 50 watua mkoani Songwe kwa lengo la kutoa huduma ya msaada wa kisheria itakayoanza kesho Desemba 12, 2024. Wataalamu hao ni wale walio kwenye kampeni ya...

Page 1 of 6

Next