Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

71 results for Denis Sinkonde :

  1. Kibarua cha Chongolo kwa madiwani mabaraza yakivunjwa

    Songwe. Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Daniel Chongolo amewataka wakuu wa idara na vitengo wa Halmashauri za mkoa huo, kusimamia fedha zinazotolewa na Serikali kwa ajili ya kutekeleza miradi ya...

  2. Daraja la Sh2.9 bilioni kurahisisha usafiri kati ya Momba, Tunduma

    Ujenzi wa daraja linalounganisha halmashauri za Momba na Tunduma mkoani Songwe umefikia asilimia 65.

  3. Wanaotorosha mbolea ya ruzuku mpakani waonywa

    Wafanyabiashara na mawakala wa uuzaji wa pembejeo Tunduma na Ileje mkoani Songwe wametakiwa kujiepusha na uvushaji wa mbolea ya ruzuku kwenda Zambia na Malawi bila kufuata sheria.

  4. Fundi magari mbaroni kwa tuhuma za mauaji ya Katekista Songwe

    Jeshi la Polisi mkoani Songwe linamshikilia fundi magari, Lameck Mwamlima (29), mkazi wa Migombani, Tunduma, kwa tuhuma za kuhusika katika mauaji ya Katekista wa Kanisa Katoliki, Parokia ya...

  5. Nyanda za juu kusini waja na mikakati ya uzalishaji kahawa

    Mikoa ya Nyanda za juu kusini inatarajia kuongeza wigo wa uzalishaji wa zao la kahawa yenye ubora kwenye soko la dunia kwa kufikia tani 300,000 mwaka huu, ikiwa ni ongezeko la kutoka tani 65,235...

  6. Sh7.3 bilioni kukarabati daraja Songwe

    Serikali imesema inatarajia kuanza utekelezaji wa ujenzi wa daraja katika barabara ya Mlowo-Kamsamba ili kuondoa changamoto inayowakabili wananchi baada ya lililokuwapo awali kuathiriwa na mvua...

  7. RC Chongolo kuondoa changamoto ya foleni ya malori Tunduma

    Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Daniel Chongolo, ameunda kamati maalumu kuchunguza sababu za ucheleweshaji wa malori ya mizigo kuvuka mpaka wa Tunduma, ambapo imebainika baadhi hukaa hadi siku nane...

  8. Mume mbaroni kwa mauaji ya mke

    Kwa sasa, mwili wa marehemu umehifadhiwa katika Kituo cha afya cha Tunduma kwa ajili ya uchunguzi zaidi.

  9. Kiongozi wa CCM kata auawa na wasiojulikana

    Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Kata ya Chitete wilayani Ileje Mkoa wa Songwe, Halisoni Mwampashi (62) amefariki dunia baada ya kuuawa na watu wasiojulikana.

  10. Mmoja afariki, 33 wajeruhiwa ajali ya Coaster na katapila

    Mtu mmoja amefariki dunia na wengine 33 kujeruhiwa katika ajali ya basi dogo aina ya Toyota Coaster lililogongana na katapila, iliyotokea jana mchana eneo la Msinde Wilaya Momba mkoani Songwe.

Page 1 of 8

Next