Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

815 results for Florah Temba :

  1. PRIME VIDEO: Aliyempinga Rais Samia afukuzwa CCM, mwenyewe atoa kauli

    Zipo taarifa kuwa baadhi ya makada wa CCM waliokuwa wakijipanga kuwania urais kwenye uchaguzi mkuu wa 2030, hawakufurahia uamuzi huo wakiamini unawaweka kwenye mazingira magumu hapo baadaye.

  2. Aliyepinga Rais Samia kupitishwa mgombea pekee urais afukuzwa CCM

    Mchungaji Malisa, ambaye amewahi kugombea urais, uspika na hata ubunge, alijiunga na CCM mwaka 2021 na alikuwa miongoni mwa makada tisa waliochukua fomu kugombea uenyekiti wa Chama hicho mwaka 2022.

  3. Kitendawili cha elimu, malezi ndani ya zama za dijitali

    Maswali yaliyopo ni namna gani wazazi, walezi wanaweza kuushinda mtihani wa elimu na malezi katikati ya mabadiliko makubwa ya sayansi na teknolojia?

  4. Ushirikiano wa manispaa ya Moshi, Mji  wa Marburg Ujerumani wazaa matunda

    Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya Manispaa ya Moshi, Mwajuma Nasombe amesema walilazimika kuomba kupatiwa gari la zimampoto, baada ya Manispaa ya Moshi kuwa na majanga mengi ya moto, huku...

  5. Mwanasiasa mkongwe Nicodemus Banduka afariki dunia

    Mwanasiasa mkongwe nchini, Nicodemus Banduka(80) amefariki dunia akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Mloganzila iliyopo Jijini Dar es Salaam.

  6. Bweni la Shule ya Wasichana Kaloleni laungua moto

    Mwalimu mkuu wa shule hiyo, Muhamed Migeto amesema vitu vilivyoathiriwa na moto huo ni vifaa vya wanafunzi vilivyokuwamo ndani yakiwamo mabegi na magodoro.

  7. PRIME Migogoro ya ardhi inavyozaa matukio ya jinai

    Jaji Mkuu, Profesa Ibrahim Juma amesema migogoro ya ardhi ndio inayozaa makosa mengi ya kijinai nchini, sambamba na kuwa chimbuko la changamoto katika uwekezaji, biashara na mirathi.

  8. Mvua iliyonyesha kwa dakika 45 yaacha kilio Moshi

    Mkuu wa Wilaya ya Moshi, Godfrey Mnzava, ametoa rai kwa wananchi wanaoishi maeneo hatarishi, kuchukua tahadhari kabla ya madhara makubwa hayajawafika.

  9. Takukuru wambana kiongozi aliyedaiwa kukwapua mamilioni ya Vicoba

    Taasisi Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) Mkoa wa Kilimanjaro, imefanikiwa kurejesha zaidi ya Sh13.7 milioni za kikundi cha benki za jamii (Vicoba) cha Samaria, kilichopo Kijiji cha Holili...

  10. Watumishi wawili wa Bodi ya Maji wasimamishwa kazi Siha

    Watumishi wawili wa Bodi ya Maji Magadini Makiwaru, Wilaya ya Siha mkoani Kilimanjaro, wamesimamishwa kazi kwa tuhuma za kuwaunganishia huduma ya maji wananchi 63 kinyume cha utaratibu.

Page 1 of 82

Next