Biashara holela ya mahindi yawavuruga wafanyabiashara Holili Wafanyabiashara wa nafaka kutoka Tanzania kwenda nchi jirani ya Kenya, kupitia mpaka wa Holili, Wilaya ya Rombo mkoani Kilimanjaro, wamelalamikiwa kukiuka utaratibu wa kufanya biashara ya mazao...
Wadau: Kaza 'kamba' vifungashio plastiki, elimu itolewe mashuleni Serikali imetakiwa kuweka nguvu kudhibiti uzalishaji na uingizaji wa vifungashio vya plastiki, kama njia kuzuia uchafuzi wa mazingira nchini, sambamba na kutoa elimu hiyo kuanzia shule za msingi...
Mauzo ya Kahawa yapaa kwa asilimia 12 Mauzo ya kahawa katika msimu wa 2022/2023 yameongezeka kwa asilimia 12 na kufikia Sh548.4 bilioni kutoka Sh489.5 bilioni msimu uliopita.
Mkandarasi akimbia, vibarua walia njaa Wakati ‘vibarua’ katika mradi wa maji wenye thamani ya Sh2.1 bilioni, Kata ya Marangu Magharibi, Wilaya ya Moshi, wakilalamika kutolipwa stahiki zao kwa muda mrefu, msimamizi wa mradi huo...
Ushuru wa maegesho sasa wageuka shubiri Mfumo wa ukusanyaji ushuru wa maegesho (parking fee) ambao halmashauri zimeurithi kutoka Wakala wa Barabara za Mijini na Vijijini (Tarura), umegeuka shubiri kwa wamiliki wa magari katika mji wa...
TFS kuboresha hifadhi ya msitu Rau Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) Wilaya ya Moshi, kujenga mahema yatakayotumiwa kwaajili ya kulala watalii katika Hifadhi ya Msitu wa Rau, hatua ambayo inatajwa itachochea ongezeko la...
Wananchi wajitokeza kupima kisukari, presha kumbukizi ya Ndesamburo Magonjwa yasiyoambukiza ikiwemo Shinikizo la Damu na Sukari, yametajwa kuwatesa wananchi wengi mkoani Kilimanjaro na hivyo wananchi kutakiwa kujijengea utamaduni wa kupima afya zao mara kwa mara...
CCT yaiangukia Serikali kutoza kodi huduma za elimu, afya Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT) imeiomba serikali kulitazama suala la kodi kwa taasisi za dini zinazotoa huduma za Afya na elimu, kwa kuwa linatishia uhai wa taasisi hizo.
Lusinde akemea ushabiki wa siasa Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (NEC), Livingston Lusinde amewataka wananchi kuacha ushabiki wa kisiasa na kuwa wapenzi wa kisiasa ili kuweza kuchambua mambo kwa kina na kuyaona...
Utata wa vifo Rombo, Serikali yatoa tamko Ni ugonjwa gani uliowaua? Hili ndilo swali linaloumiza vichwa kwa sasa, baada ya Serikali kutoa tamko rasmi kuwa vifo vya watu watatu vilivyotokea siku 24 zilizopita wilayani Rombo...