Search

395 results for Mgongo Kaitira :

  1. Stendi ya Nyegezi yakamilika, yaanza kutumika kwa muda

    Pamoja na mradi wa ujenzi wa stendi mpya ya kisasa eneo la Nyegezi kwa gharama ya zaidi ya Sh15.8 bilioni, Halmashauri ya Jiji la Mwanza pia inatekeleza mradi wa ujenzi wa Soko Kuu kwa gharama ya...

  2. Mganga wa kienyeji, wenzake wawili kizimbani kwa mauaji

    Ezekiel Charles (40), mganga wa kienyeji pamoja na wenzake wawili wamefikishwa mbele ya Mahakama ya Wilaya ya Magu kwa madai ya kumuua Ester Lukonu, mkazi wa Kijiji cha Bugumangala Wilaya ya Magu...

  3. Operesheni +255 Katiba Mpya yahitimishwa, mikutano zaidi ya 100

    Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimehitimisha Operesheni +255 Katiba Mpya Kanda ya Magharibi kwa kufanya mikutano ya hadhara zaidi ya 100 katika kata za majimbo 25 ya mikoa hiyo ya...

  4. Chadema yataja majanga matano yanayowatesa Watanzania

    Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimesema katika ziara yake ya Operesheni +255 Katiba Mpya iliyofanyika Kanda ya Magharibi kwa siku 11, kimebaini kuwepo kile ilichokiita majanga matano...

  5. Lissu: Tusipopata Katiba Mpya kabla ya Uchaguzi tunyamaze milele

    Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Tundu Lissu amewataka watanzania kuungana na Chama hicho katika madai ya kupata Katiba Mpya kabla ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa...

  6. Walalamika kwa Mbowe tozo za sherehe, mazishi

    Wakazi wa Muyama iliyopo Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe mkoani Kigoma wameiomba Serikali kuingilia kati changamoto ya kutozwa Sh20,000 kwa ajili ya kupatiwa kibali cha kufanya mazishi.

  7. Mbowe atoa sharti kujiunga Chadema

    Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe amewaonya watu wanaojiunga na chama hicho kwa lengo la kupata vyeo huku akiwataka watetea haki na usawa kwa wananchi.

  8. Mbowe: Acheni kulalamika, chukua hatua kuiondoa CCM

    Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Freeman Mbowe amewataka Watanzania kuacha kulalamika ugumu wa maisha na badala yake wachukue hatua kwa kuiondoa CCM madarakani.

  9. Mbowe awataka CCM kutubu dhambi, kujiunga Chadema

    Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Taifa, Freeman Mbowe amewakaribisha wanachama na viongozi wa vyama vingine vya upinzani na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kujiunga na Chadema...

  10. Mbowe afichua alichoteta na Rais Samia

    Huenda ukawa ni miongoni mwa watu wenye kiu ya kutaka kujua Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Freeman Mbowe alizungumza kitu gani na Rais Samia Suluhu Hassan muda mfupi baada ya kuachiwa kutoka gerezani.

Page 1 of 40

Next