Vurugu zalipuka Marekani, wanajeshi wamwagwa mitaani
Kufuatia hatua hiyo, Rais Trump aliamuru wanajeshi zaidi ya 2,000 kumwagwa maeneo yanapofanyika maandamano hayo, ili kukabiliana na waandamanaji na kuimarisha ulinzi dhidi ya majengo na ofisi za...