Rais Mwinyi awaweka pembeni RC, ma- DC wakiwamo wanaoutaka uwakilishi, ubunge Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi amefanya uteuzi wa mkuu wa mkoa na wakuu wa wilaya watano kufuatia baadhi ya waliokuwa wakishikilia nafasi hizo kuchukua fomu kwa ajili ya kuwania nafasi za...
PRIME Kutoka mipango, mauaji hadi askari kunyongwa-1 Hukumu ya kesi ya mauaji ya mfanyabiashara wa madini yenye kurasa 60 na maneno zaidi ya 13,000 imejengwa juu ya ushahidi wa mashahidi 28 upande wa mashtaka, vielelezo 16 vya upande wa mashtaka...
Bei za vifurushi zimeshuka - NHIF Hili linasemwa wakati ambao tayari utekelezaji wa sheria ya bima ya afya kwa wote umeanza, huku utaratibu maalumu ukiwa umewekwa ili kuwafikia wale wasiokuwa na uwezo wa kumudu gharama ikiwemo...
PRIME Saa tano ngumu ndani ya mwendokasi Kama inavyosemwa na Waswahili, ukitaka kujua utamu wa ngoma sharti uingie uicheze, ndivyo ilivyo hata unapotaka kujua karaha za usafiri wa mabasi yaendayo haraka Dar es Salaam, sharti upande.
PRIME Askari waliomuua muuza madini wahukumiwa kunyongwa Maofisa waliokutwa na hatia ni Mrakibu wa Polisi, Gilbert Kalanje, aliyekuwa Mkuu wa Upelelezi Wilaya ya Mtwara na Mrakibu Msaidizi wa Polisi, Charles Onyango, aliyekuwa Mkuu wa Kituo cha Polisi...
Sh26 milioni kunusuru nyumba 114 Mto Morogoro Bodi ya Bonde la Wami-Ruvu imetangaza mpango wa kufukua kipande cha kilomita 1.7 cha Mto Morogoro na kuupeleka kwenye njia yake ya asili, ili kukabiliana na athari za mafuriko zinazoendelea...
Safari treni ya SGR Dar -Dodoma kuongezwa, Naibu Spika ashauri Hata hivyo, kwa sasa safari za treni hiyo kutoka Dar es Salaam kwenda Dodoma ni nne, ila kutoka Dodoma kwenda Dar bado ni tatu.
Sh240 bilioni kujenga shule 23 za ghorofa Zanzibar Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imesaini mkataba na Benki ya CRDB kwa ajili ya kupata mkopo wa bei nafuu wa Euro milioni 79 (takribani Sh240 bilioni), zitakazotumika katika ujenzi wa...
Wagombea 18 kuchuana urais CWT, 19 umakamu Kuwapo kwa idadi kubwa ya wagombea kumeelezwa na aliyekuwa Rais wa CWT, Gratian Mukoba kwamba ni ishara ya mvuto wa chama kwa kuwa hakuna mtu atakayekubali kuongoza kitu kisichokuwa na maana.
Sababu Dk Mwinyi kuteua wakurugenzi wapya Unguja, Pemba Mhandisi Zena amesema uteuzi huo unaanza rasmi leo, Mei 20, 2025.