Mwili wa kijana mwenye ualbino wakutwa shambani Morogoro Familia ya marehemu imebaki na maswali kuhusu mazingira ya kifo hicho, hususan baada ya kubaini hakuna kiungo chochote kilichotolewa mwilini.
Kelele za rushwa zaibua wadau Kukithiri kwa vitendo vya rushwa nchini kunatajwa kuwa tatizo mtambuka linalogusa malezi, kukosa hofu ya Mungu, na ukosefu wa masilahi kazini.
Zaidi ya koo 45 za Waluguru zafanya tambiko kudumisha amani, kupinga ukatili wa kijinsia Zaidi ya koo 45 za kabila la Waluguru zimefanya tambiko la tano la kudumisha amani na umoja katika jamii, kutoa elimu ya ulinzi na uhifadhi wa mazingira na kupambana na ukatili wa kijinsia kwa...
Kamati Kuu Chadema yajifungia kufanya uteuzi wagombea wa mabaraza Wajumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wamekutana katika kikao kilicholenga kufanya uteuzi wa wagombea wa nafasi mbalimbali kwenye mabaraza ya chama hicho ya vijana...
PRIME CUF yamtimua Mbunge wake, mwenyewe asema… Chama cha Wananchi (CUF), kimemfuta uanachama mbunge wake wa Mtambile visiwani Pemba, Seif Salim Seif kwa kile kilichodaiwa amekisaliti chama hicho na kukiunga mkono chama tawala cha CCM.
PRIME Ni mwisho wa CUF? Mgogoro unaofukuta ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), ambacho kinafanya uchaguzi wa kanda kwa sasa unahusishwa na ukomo wa madaraka.
Chikola: Miamala ilisoma kisa Yanga Katika Ligi Kuu Bara msimu huu mpaka sasa huenda ushindi wa mabao 3-1 wa Tabora United mbele ya Yanga katika Uwanja wa Chamazi jijini Dar es Salaam ndiyo matokeo ya soka ambayo yamezungumzwa...
Matukio ya mauji, ukatili yalivyoitikisa Zanzibar yaliyosababishwa na kuchomwa na kitu chenye ncha kali. Kwa mujibu wa taarifa ya polisi, baada ya uchunguzi kina waliwakamata watuhumiwa watatu akiwemo mwanamke, Wile Dotto Ndombe (28) mkazi wa...
PRIME Mzigo unaowakabili viongozi wa mitaa Viongozi wa Serikali za mitaa, vijiji na vitongoji waliochaguliwa Novemba 27, 2024, wanatarajiwa kukabiliwa na kibarua kigumu katika utendaji wao katika kipindi cha miaka mitano ijayo.
Upigaji kura waendelea katikati ya malalamiko ya majina kutoonekana, kutopangiliwa shughuli zao,” amesema Kamugisha. Tandale Changamoto ilikuwepo pia katika eneo la Tandale, ambapo baadhi ya wananchi wa Mtaa wa Pakacha waliofika kituoni walidai majina yao kutoonekana katika...