Aliyekuwa kocha Simba asomewa mashtaka upya Kocha wa makipa wa timu ya Simba, Muharami Sultan (40) na wenzake watano wamesomewa upya mashtaka nane katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.
PRIME TMA yataja hatua kudhibiti tishio mabadiliko tabianchi Shughuli za kibinadamu zimeendelea kuiharibu asili ya dunia, huku ripoti zikionyesha dalili za ongezeko la magonjwa mbalimbali mapya, mafuriko, ukame, kupotea kwa viumbe hai kwa miaka ijayo...
Jalada kesi ya Mwakabibi, wenzake larudishwa Takukuru Upande wa mashtaka katika kesi inayomkabili aliyekuwa Mkurugenzi wa Manispaa ya Temeke, Lusubilo Mwakibibi na Mratibu wa Mradi wa Uendelezaji Jiji la Dar es Salaam (DMDP), Edward Haule umedai...
Shahidi: Mshtakiwa alikamatwa na bangi katika mfumo wa kimiminika Ofisa wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya nchini (DCEA), Samwel Mollel, katika kesi inayomkabili Frida Edwin, amedai kuwa; majibu ya Mkemia Mkuu wa Serikali, yanaonyesha...
Kortini akidaiwa kughushi nyaraka Thabiti Saidi amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na mashtaka 47 akikabiliwa na mashtaka ya kugushi, kuwasilisha nyaraka za uongo na na kujipatia fedha kwa njia ya...
Kesi ya kuvujisha mitihani yakwama kuendelea, wakili afiwa na baba mzazi Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imeshindwa kusikiliza ushahidi katika kesi inayowakabili washtakiwa 12 wakiwemo walimu baada ya Wakili wa Utetezi, Dickson Jonson kufiwa na baba yake mzazi.
Mwelekeo mpya kesi ya vigogo NIC Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imesema wanasubiri jalada kutoka Mahakama Kuu ili shauri liweze kwenda mbele katika kesi inayowakabili watumishi saba wa Shirika la Bima la Taifa (NIC) akiwemo...
Hakimu akwamisha kesi ya kuvujisha mitihani Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imeshindwa kusikiliza ushahidi katika kesi inayowakabili washtakiwa 12 wakiwemo walimu kwa kuwa Hakimu Mkazi Mkuu, Pamela Mazengo anayeendesha shauri hilo...
PRIME Anayedaiwa kumuua mkewe kupimwa afya ya akili Upande wa utetezi katika kesi inayomkabili Hamis Luoga anayekabiliwa na shtaka la mauaji ya mkewe, Naomi Marijani umeiomba Mahakama mshtakiwa huyo akapimwe afya ya akili.
Mahakama kuanza kusikiliza ushahidi kesi ya aliyemuua mkewe Mahakama Kuu ya Tanzania, inatarajia kusikiliza mashahidi 28 pamoja na vielelezo 15 katika kesi ya mauaji inayomkabili Hamis Luoga, anayekabiliwa na shtaka la kumuua mkewe Naomi Marijani.