Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

492 results for Pamela Chilongola :

  1. Mawakili wakwamisha kesi jaribio la kutekwa Tarimo, hakimu aonya

    Baada ya maelezo hayo, Hakimu Ramadhan Rugemalira amewaonya mashahidi waliofika mahakamani hapo kufika tarehe ijayo ili shauri liende mbele.

  2. Wakenya watatu wahukumiwa miezi mitatu jela

    Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam imewahukumu raia watatu wa Kenya kulipa faini ya Sh1 milioni kila mmoja au kwenda jela miezi mitatu baada ya kutiwa hatiani kwa...

  3. Arusha, Manyara zatajwa kinara vitendo vya ukeketaji nchini

    Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu imesema mikoa ya Arusha na Manyara inaongoza kwa ukeketaji kwa kiwango cha asilimia 43, ikifuatiwa na Mkoa wa Mara kwa asilimia 28.

  4. Wasomi watakiwa kutafiti usafirishaji haramu wa binadamu

    Mkurugenzi wa Program wa Mtandao wa Kitaifa wa Kupambana na Usafirishaji Haramu wa Binadamu, Jones John amesema hayo leo Januari 25, 2025 wakati alipokuwa wakitoa elimu kwa wanafunzi wa Chuo...

  5. TMA yatabiri mafuriko na maporomoko mikoa 14

    Mikoa inayopata mvua za wastani hadi juu ya wastani ni mashariki mwa mikoa ya Simiyu na Mara.

  6. Polisi yawafungia leseni madereva 30 kwa ulevi Dar

    Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limewafungia leseni madereva 30 kati ya 179 waliokamatwa katika kipindi cha sikukuu za Krismasi na Mwaka Mpya 2025.

    New Content Item (1)
  7. PRIME Viongozi wa dini wasisitiza nguvu mpya 2025

    Tunasonga mbele, ndiyo ujumbe unaobeba nasaha za jumla za viongozi wa kiroho katika ibada za mkesha wa mwaka mpya 2025 na kusahau mabaya yaliyopita.

  8. Maabara MOI yatunukiwa ithibati ya ubora kimataifa

    Maabara ya Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI), imetunukiwa cheti cha ithibati cha ubora wa kimataifa cha utoaji huduma za maabara.

  9. Waajiri warudishwa darasani mfuko wa hifadhi ya jamii

    Wakumbushwa majukumu yao yakiwamo ya kusajili wafanyakazi wao na kuwasilisha michango kwa wakati kwa kuwa ni takwa la kisheria.

  10. Wenye ulemavu 'walia' changamoto wanazopitia

    Ili kukabiliana na changamoto za watu wenye ulemavu, mwaka huu wamekuja na mipango miwili ambayo ni pamoja na mkakati wa taifa wa teknolojia saidizi na mwingine ni mpango kazi wa haki na ustawi...

Page 1 of 50

Next