PRIME Wiki ya mchakamchaka uteuzi wa wagombea vyama vya siasa Wakati Chama cha Mapinduzi (CCM) kikikamilisha hatua ya uchukuaji na urejeshaji wa fomu kwa wagombea ubunge na udiwani, vyama vingine vya siasa vinaendelea na mchakato huo huku baadhi yao...
PRIME Miaka 10 ya Majaliwa ilivyoonyesha upekee Akiwa Waziri Mkuu wa 10 baada ya uhuru wa Tanzania, Majaliwa amefanya kazi na marais wawili--hayati John Magufuli, aliyemteua kwa mara ya kwanza kuwa Waziri Mkuu, na Samia Suluhu Hassan...
Hii hapa ratiba kamili ya mchakato wa uchaguzi CCM Hatua hiyo ya pili inakwenda kutoa nafasi kwa kamati za siasa kuchuja wagombea na kutoa mapendekezo kwa kamati za juu hadi kufikia ngazi ya taifa ambapo baadaye kamati kuu itahitimisha hatua hiyo...
PRIME Majimbo yenye ushindani CCM Umaarufu, mvuto kwa wananchi na uzoefu wa muda mrefu ni miongoni mwa sifa zitakazowabeba baadhi ya watia nia huku uamuzi wa mwisho ukitarajiwa kufanywa na wajumbe kabla ya kutangazwa kwa mteule...
Muziki wa reggae unavyotumika kuchochea fikra za ukombozi Afrika Je, umewahi kusikia siku ya muziki wa reggae duniani? Basi, siku hiyo ipo, ni leo. Siku hii huadhimishwa Julai Mosi ya kila mwaka ambapo ulimwengu unakumbuka na kufurahi pamoja kuhusu aina hiyo...
PRIME Mshikemshike uchukuaji fomu CCM Mshikemshke wa uchukuaji na urejeshaji wa fomu za kuwania uteuzi wa nafasi za udiwani, ubunge na uwakilishi ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) umeanza rasmi leo, Juni 28, 2025, na kuvutia makada...
Sekta tisa kuibeba Dira ya Taifa 2050 Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 (Dira 2050) imebainisha sekta tisa zenye fursa za mageuzi ya kuchochea kufikiwa kwa malengo ya Taifa na kuivusha Tanzania miaka 25 ijayo.
PRIME IRAN VS ISRAEL: Siku 13 za maangamizi na mtikisiko wa dunia Juni 13, 2025, Israel ilianza kuishambulia Iran kwa makombora yake ikilenga vinu vya nyuklia na makamanda wa Jeshi la Iran ambao waliuawa katika mashambulizi hayo yaliyosababisha madhara kwa...
DSE, TSA waingia makubaliano kuziwezesha ‘startsups’ kupata mitaji Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE) limetiliana saini mkataba wa makubaliano (MoU) na Chama cha Kampuni Changa (TSA) ili kuwawezesha vijana wanaoanzisha kampuni zao kutambuliwa na DSE ili...
PRIME Kikwete: Uchaguzi 2025 ni fursa kuonyesha demokrasia Rais mstaafu, Jakaya Kikwete amesema hila, ulaghai na ujanja visitumike katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba, 2025.