Serikali, wadau wahimizwa kujenga vyoo bora kwenye vituo vya afya Dar es Salaam. Serikali na wadau wa maendeleo nchini wamehimizwa kuelekeza rasilimali kwenye vituo vinavyotoa huduma za afya kwa kujenga vyoo bora vinavyotosheleza mahitaji kwenye eneo husika ...
Sudan Kusini kukabidhiwa uenyekiti EAC kesho Mkutano wa wakuu wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), unatarajiwa kuanza kesho Alhamisi Novemba 22, 2023 jijini Arusha ukiwakutanisha pamoja marais au wawakilishi wao kujadili...
Zitto awang’ang’ania vigogo wa Serikali Kakonko kifo cha kijana Enos Kifo cha Enos ambaye enzi za uhai wake alikuwa akijishughulisha na kilimo na ujasiriamali alitoweka katika mazingira ya kutatanisha akiwa mikononi mwa maofisa wa Uhamiaji Wilaya ya Kasulu kabla...
Zitto ataka timu ya Makamishina kuchunguza kifo tata Kokonko Kifo ha kijana Enos ambaye enzi za uhai wake alikuwa akijishughulisha na kilimo na ujasiriamali kimegubikwa na utata baada ya kutoweka kwa siku kadhaa kabla ya mwili wake kukutwa ukiwa umezikwa...
Wadau watia neno uboreshaji daftari la wapigakura Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec), imeanza maandalizi ya uboreshaji wa daftari la kudumu la wapigakura ambapo majaribio yataanza Novemba 24 hadi 30, 2023 katika kata mbili za Ng'ambo iliyopo Tabora...
Miswada sheria za uchaguzi haijajibu kiu ya Watanzania Baadhi ya wadau wa siasa wamesema miswada ya Sheria za Uchaguzi na Vyama vya siasa iliyopelekwa bungeni wiki iliyopita, bado haijajibu kiu ya Watanzania ya kuwa na Tume huru ya uchaguzi na...
Tendwa asimama na viongozi wastaafu-2 Msajili mstaafu wa Vyama vya Siasa, John Tendwa amesema kuwa wastaafu hawatumiwi ipasavyo hapa nchini, badala yake wanatumika zaidi kwenye mataifa mengine.
PRIME Tendwa: Nilihojiwa Baraza la Mawaziri Msajili mstaafu wa vyama vya siasa, John Tendwa amesimulia jinsi alivyoitwa na kuhojiwa mbele ya Baraza la Mawaziri wakati wa utawala wa Rais Benjamin Mkapa, akihisiwa ni mpinzani kwa kuwa...
‘Serikali iboreshe mifumo kudhibiti fedha za umma’ Dar es Salaam. Serikali imetakiwa kuboresha mifumo ya kusimamia na kudhibiti fedha za umma, ili kudhibiti mianya ya ubadhirifu ulioibuka katika ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za...
Waipaisha Tanzania jumuiya ya kimataifa Tanzania ni nchi yenye heshima kubwa mbele ya jumuiya ya kimataifa na imekuwa ikitoa watu makini wa kusimamia mashirika au taasisi za kimataifa kwa mafanikio makubwa na kuwa chachu ya maendeleo.