Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

266 results for Peter Saramba :

  1. PRIME Wasaka ubunge majimbo ya Mwanza wakoleza joto

    Hata hivyo, Mwananchi imezungumza na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mwanza, Michael Smart anasema chama hicho tawala kimejiandaa siyo tu kushinda uchaguzi, bali kuanzia kwenye uteuzi sahihi wa...

  2. Sintofahamu mzee aliyemwomba msamaha Heche, Polisi wachunguza

    Kamanda Abwao alisema uongo wa maelezo ya utambulisho wa Delimu umeibua taharuki katika jamii na kusababisha usumbufu kwa makundi mengi likiwemo Jeshi la Polisi lenyewe.

  3. Heche: Tabora inafaa kuwa mji wa viwanda vya mbao, tumbaku

    Makamu Mwenyekiti wa Chadema, John Heche amesema mji wa Tabora unapaswa wa kitovu cha viwanda vya kuchakata mazao ya misitu na zao la tumbaku.

  4. PRIME Mapya yaibuka mikutano ya Chadema, CCM

    Vyama hivyo vimeendelea na ziara zao katika mikoa mbalimbali, Makamu Mwenyekiti CCM Bara, Stephen Wasira anaendelea na ziara zake mkoani Ruvuma wakati Makamu Mwenyekiti wa Chadema – Bara, John...

  5. Vurugu zaibuka mkutano wa Chadema Igunga, mmoja mbaroni

    Kijana Lufigo Bundala, mkazi wa Kijiji cha Ibuta kilichopo Wilaya ya Igunga mkoani Tabora, anashikiliwa na Jeshi la Polisi wilayani humo kwa tuhuma za kuanzisha vurugu, kushambulia na kujeruhi...

  6. Askofu Mwamakula awasihi viongozi wa dini kukemea uovu bila hofu

    Akihutibia mkutano wa hadhara mjini Singida leo Juni 9, 2025, Askofu Mwamakula amesema pamoja na mahubiri na mafundisho ya kiimani, kukemea uovu, kushauri na hata kukemea kwa faida na manufaa ya...

  7. Heche: Chadema tutawekeza kwenye viwanda kumaliza tatizo la ajira

    Amesema hivi sasa viwanda vingi vilivyojengwa wakati wa Mwalimu Nyerere vimebinafsishwa na kukabidhiwa mikononi mwa wageni ambao wamevigeuza maghala huku ajira za Watanzania zikipotea.

  8. Kigaila ataja sababu tatu Chaumma kushiriki uchaguzi

    Sababu ya pili, amesema ni kupata fursa ya kushiriki vikao vya kisheria na kikatiba ikiwamo Bunge ambako watapata mwanya wa kupambania mabadiliko ya katiba, sheria na mifumo ya kiuongozi.

  9. Chaumma sasa kuzindua ziara ya 'chopa' Juni 3

    Chaumma kimejizolea umaarufu kwenye uwanja wa siasa nchini Tanzania baada ya kupokea wanachama wapya ambao baadhi walikuwa viongozi wa juu wa Chadema walilkuwa kwenye kundi la G55 ambao baadhi...

  10. Hifadhi ya Saanane yavuna Sh1.4 bilioni kwa miaka saba

    Hifadhi ya Taifa ya Kisiwa cha Saanane imekusanya zaidi ya Sh1.4 bilioni kutoka kwa watalii 123, 292 waliotemelea hifadhi hiyo kwa takriban miaka saba iliyopita, ikiwa ni wastani wa zaidi ya...

Page 1 of 27

Next