Namna ya kukabiliana na gharama za maisha wakati huu wa mfungo
Ramadhani ni mwezi mtakatifu kwa waumini wa dini ya Kiislamu, ni wakati wa kutafakari kwa kina, kuepuka vitendo viovu, na kudumisha umoja wa kifamilia na kijamii. Vilevile ni kipindi cha kufunga,...