Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

88 results for Rashid Aziz :

  1. Wakazi wa Manispaa ya Morogoro walia ubovu wa barabara

    Wananchi wa Manispaa ya Morogoro wakiwemo madereva wa daladala na vyombo vingine vya moto wamelalamikia ubovu wa baadhi ya barabara katika manispaa hiyo unaosababisha uharibifu wa vipuri vya...

  2. PRIME Unafuu, fursa za uwekezaji bajeti ya Serikali 2025/26

    Bajeti ya Serikali ndio bajeti kubwa kuliko bajeti zote nchini na inatoa mwelekeo wa uchumi pamoja na maendeleo ya nchi.

  3. Msamaha wa kodi kwenye mitungi gesi ya kupikia, ni hatua nzuri

    Lengo la Serikali ni kupunguza gharama ya upatikanaji wa vifaa hivyo na kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia.

  4. PRIME Maswali tata zawadi za Yanga FA

    Mjadala huo umeibua maswali mengi ambayo hata wewe msomaji utakuwa unajiuliza juu ya mvutano huo ambao ni kama umezima kabisa ishu ya Dabi ya Kariakoo.

  5. PRIME Kicheko na maumivu ya bodaboda, bajaji za mkataba

    Katika miaka ya hivi karibuni, mfumo wa vijana kumiliki pikipiki kupitia mikataba ya malipo ya awamu kati yao na wamiliki wa vyombo hivyo umeenea kwa kasi.

  6. PRIME Fikiria, itakuaje wote tukiacha kutumia pesa taslimu

    Fikiria siku moja ambapo hakuna Mtanzania atakayehitaji tena kutumia pesa taslimu. Kuanzia muuza chipsi wa Buguruni hadi kwa wavuvi wa Mafia na mwambao wa Tanga, kila mtu anapokea na kufanya...

  7. PRIME Mapinduzi ya kidijitali yanavyobadili namna ya uwekezaji

    Ripoti ya Mwaka ya Mfumo wa Malipo wa Taifa iliyotolewa hivi karibuni na Benki Kuu ya Tanzania (BoT), 2024 ilionyesha kuwa miamala ya mikopo ya kidijitali nchini Tanzania imeongezeka kwa asilimia...

  8. PRIME Maana ya ongezeko la simu janja katika huduma za kifedha

    Simu janja si tena anasa. Kwa sasa, vifaa hivi vimekuwa zana muhimu za kujipatia kipato, kuweka akiba, kutuma na kupokea fedha, na hata kukopa. Kadri mabadiliko haya yanavyozidi kushika kasi...

  9. Jambo muhimu utoaji mikopo mtandaoni ukishamiri nchini

    Huduma za mikopo ya kidijitali zimeleta mapinduzi katika upatikanaji wa mikopo, kwa kurahisisha mchakato hadi kufikia hatua ambapo mkopaji anaweza kupata fedha ndani ya sekunde kupitia simu ya...

  10. PRIME Mabadiliko ya uchumi yanavyogusa mtiririko wa fedha za kigeni

    Kiwango cha fedha za kigeni kinachopokewa hubadilika kulingana na misimu ya uzalishaji, hasa kwa bidhaa zinazouzwa nje ya nchi.

Page 1 of 9

Next