Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

79 results for Rashid Aziz :

  1. PRIME Mabadiliko ya uchumi yanavyogusa mtiririko wa fedha za kigeni

    Kiwango cha fedha za kigeni kinachopokewa hubadilika kulingana na misimu ya uzalishaji, hasa kwa bidhaa zinazouzwa nje ya nchi.

  2. Elimu inavyoweza kuchochea ujumuishi huduma za kifedha

    Kujenga ujuzi wa kifedha ni ufunguo muhimu wa kuongeza ujumuishi katika matumizi ya huduma rasmi za kifedha. Kadiri watu wengi wanavyozidi kuelewa dhana za msingi za fedha, mfano kuweka akiba...

  3. PRIME Sarafu mtandao bado ni pasua kichwa kwa mifumo ya kibenki

    Benki Kuu mbalimbali duniani zimekuwa katika hatua za kutafuta suluhu na mbadala kuhusu matumizi ya sarafu mtandao (Cryptocurrency) katika uchumi. Hali kadhalika kwa Benki Kuu ya Tanzania BOT...

  4. Namna ya kukabiliana na gharama za maisha wakati huu wa mfungo

    Ramadhani ni mwezi mtakatifu kwa waumini wa dini ya Kiislamu, ni wakati wa kutafakari kwa kina, kuepuka vitendo viovu, na kudumisha umoja wa kifamilia na kijamii. Vilevile ni kipindi cha kufunga,...

  5. PRIME Mambo saba yaliyobamba harusi ya Aziz Ki na Hamisa Mobetto

    Ilikuwa bab'kubwa. Ndivyo ilivyokuwa katika sherehe ya kupongezwa kwa maharusi, Kiungo mshambuliaji wa Yanga, Stephane Aziz KI na mwanamitindo, Hamisa Mobetto iliyofanyika jana usiku...

  6. PRIME Tanzania inaweza kujifunza haya kwa watoto wa Finland

    Wanacheza nafasi za wafanyakazi, wamiliki wa biashara, maofisa wa umma, na wakaazi wa mji, wakifanya maamuzi ya kifedha katika mazingira yanayofanana na maisha halisi.

  7. PRIME Cha kujifunza kiuchumi kwenye miradi inayofadhiliwa

    Kwa miaka ya hivi karibuni, benki zimeonyesha uthabiti mkubwa kwa kupata faida inayotokana na mikakati madhubuti ya kifedha, uboreshaji wa huduma na upanuzi wa mikopo kwa wateja.

  8. PRIME Mkutano wa kahawa utagusa hivi uchumi wetu

    Kahawa ni mojawapo ya bidhaa muhimu zaidi duniani, ikiwa ya nne kwa thamani ya mauzo baada ya mafuta, dhahabu na gesi asilia. Soko la kahawa lina thamani ya Dola za Marekani bilioni 500 (Karibu...

  9. BoT yazindua ripoti ufuatiliaji fedha za Diaspora, mchango wake huu hapa

    Wakati Nigeria na Kenya zikiongoza kwa kupokea kiasi kikubwa cha fedha kutoka kwa raia wao walioko ughaibuni (Diaspora), Tanzania imezindua ripoti ya kufuatilia fedha hizo zinazoingia nchini...

  10. Yanga yafuzu kibabe 32 bora Shirikisho ikiipa mkono Copco

    Yanga imewafuta machozi mashabiki wake ya kutolewa katika Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya kuibuka na ushindi mnono wa mabao 5-0 dhidi ya Copco ya Mwanza leo Januari 26, 2025 katika Uwanja wa KMC...

Page 1 of 8

Next