Wasira awang’ata sikio wakazi wa Geita kuhusu ardhi Chama cha Mapinduzi (CCM) kimesema kitashinda uchaguzi mkuu mwaka huu kwa kishindo katika mazingira huru na haki.
Asha Baraka : Aishtukia hatuchezi ya Yanga, asimulia miaka 30 ya kibabe Mashabiki wa muziki wa dansi wamempachika jina la Iron Lady, lakini jina lake kamili ni Asha Baraka, mwenyekiti wa Bendi wa Twanga Pepeta na Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa Simba.
Utunzaji ovyo, mifugo vyateketeza miti zaidi ya 10,000 Zaidi ya miti 10,000 iliyopandwa katika shule mbalimbali za msingi na sekondari mkoani Mara imekufa kutokana na changamoto mbalimbali, ikiwemo kuliwa na mifugo pamoja na ukosefu wa matunzo kutoka...
Sheik Walid aibua mapya ndoa ya Diamond, Zuchu Aidha Walid hakutaka kuzungumzia hatua zilivyoanza hadi akatafutwa kuwafungisha ndoa Diamond na Zuchu na kwa nini ilikuwa siri.
Harmonize akanusha kuelemewa na mapenzi Nyota wa muziki wa kizazi kipya nchini, Harmonize amesema kujiweka vyema kimuonekano mzuri sio kwa lengo la kupata warembo tu, ila ni kwa sababu ya kazi na ustaa na kwamba hata asingekuwa staa...
Mama Diamond: Mlitakaje? Nassibu ndiyo kashaoa! Hatimaye mama mzazi wa msanii Diamond Platnumz, Sanura Kassim aka Mama Dangote amevunja ukimya na kuanika juu ya ndoa ya mtoto wake na Zuchu, baada ya uvumi wa mastaa hao kuoana ama kutalikiana...
Hamisa: Ndoa yangu siyo maonesho Mwanamitindo na mjasiriamali maarufu wa Tanzania, Hamisa Mobetto, amefunguka kuwa, watu wasimfikirie ameamua kuingia katika ndoa kama maonyesho, bali amedhamiria kwenda kuwa mke anayestahili kuwa...
Bi Star: Uswahilini wamenizoea natamani ushua Usemi wa mvumilivu hula mbivu ndiyo umemkuta mwigizaji mkongwe Shamila Ndwangila maarufu kama Bi Star ambaye hivi sasa anakula matunda ya kazi yake.
Lulu Diva achomoa kesi ya Wema, Whozu Nyota wa muziki anayefanya vizuri katika tamthilia nchini, Lulu Diva ameruka kimanga taarifa kwamba yeye ndiye kidudu mtu kilichosababisha uhusiano wa Wema Sepetu na Whozu kuvunjika kama...
JB apangua tuhuma za kutoka kimapenzi na wasanii wenzake Mwigizaji mkongwe na mtayarishaji wa filamu nchini, Jacob Stephen ‘JB’ amekanusha madai kwamba amekuwa akitumia nafasi yake kutoka kimapenzi na wasanii anaofanya nao kazi, akisema wanaomzushia...