Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

77 results for Rhobi Chacha :

  1. Chino kurudi shule, amtaja mzungu

    Msanii wa Bongo Fleva, Chino Kidd amesema pamoja na umaarufu wake anahitaji sana kurudi shule ili aongeze uwezo wake wa kuimba.

  2. Billnass afunguka kutoka na Yammy

    Msanii wa Bongo Fleva, Billnass amesema watu waachez kupotosha kwa kudai yeye ndiyo sababu ya Yammy aliyekuwa chini ya lebo ya The African princess inayomilikiwa na Nandy.

    BILLANASS Pict
  3. Ibraah atii wito Basata, Harmonize hajafika

    Msanii Ibrahim Abdallah 'Ibraah' ameondoka Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) baada ya kumaliza mazungumzo yaliyofanya yeye na bosi wake Harmonize waitwe katika ofisi hizo

  4. Mpiga gitaa mkongwe Omar Seseme afariki dunia, kuzikwa leo

    Mazishi ya msanii huyo yamepangwa kufanyika leo saa 10 jioni katika Makaburi ya Mzimuni, Mwinyimkuu Magomeni, jijini Dar es Salaam.

  5. Shilole akimbilia gym kunusuru penzi lake

    Msanii nyota wa filamu na muziki anayejishughulisha pia na ujasiriamali, Shilole amejishtukia na fasta ameamua kukimbilia gym kupiga tizi ili kupunguza unene alionao kwa nia ya kuokoa penzi lake...

  6. Mwanasheria aeleza kinachofuata ishu ya Ibraah, Harmonize

    Mkuu wa Kitengo cha Sheria Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) Christopher Kamugisha amesema wamesikiliza malalamiko ya pande zote mbili kuhusu wito wa wasanii Harmonize na Ibraah.

  7. Ibraah awasili Basata, Harmonize anasubiriwa

    Msanii wa Bongo Fleva, Ibrahim Abdallah Nampunga 'Ibraah' tayari amewasili katika ofisi za Baraza la Sanaa la Taifa (Basata) baada ya taarifa za wito kutokana na kile kinachoendelea kati yake na...

    BASATA Pict
  8. Sakata la Harmonize na Ibraah lafika pabaya

    Sakata linalomuhusu msanii Ibraah kutaka kuchangiwa Sh1 bilioni na watu ili aondoke kwenye lebo ya Konde Gang inayomilikiwa na Harmonize limefika pabaya baada ya kuanza kutoleana maneno mabaya ya...

    IBRAH Pict
  9. Afya ya Mkubwa Fella yazidi kuimarika

    Miezi michache iliyopita, Mwananchi iliripoti hali ya kiafya ya Meneja wa msanii wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz, Said Fella 'Mkubwa Fella' aliyekuwa akisumbuliwa na presha na kupooza miguu.

    FELA Pict
  10. Uhusika wa kichawi unavyomtesa Bi Mwenda

    Mwigizaji mkongwe wa filamu, Fatuma Makongoro ‘Bi Mwenda’ amesema ameacha kuigiza nafasi za ‘kichawi’ baada mashabiki zake kumhisi ni mchawi kweli.

    MWENDA Pict

Page 1 of 8

Next