Chino kurudi shule, amtaja mzungu Msanii wa Bongo Fleva, Chino Kidd amesema pamoja na umaarufu wake anahitaji sana kurudi shule ili aongeze uwezo wake wa kuimba.
Billnass afunguka kutoka na Yammy Msanii wa Bongo Fleva, Billnass amesema watu waachez kupotosha kwa kudai yeye ndiyo sababu ya Yammy aliyekuwa chini ya lebo ya The African princess inayomilikiwa na Nandy.
Ibraah atii wito Basata, Harmonize hajafika Msanii Ibrahim Abdallah 'Ibraah' ameondoka Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) baada ya kumaliza mazungumzo yaliyofanya yeye na bosi wake Harmonize waitwe katika ofisi hizo
Mpiga gitaa mkongwe Omar Seseme afariki dunia, kuzikwa leo Mazishi ya msanii huyo yamepangwa kufanyika leo saa 10 jioni katika Makaburi ya Mzimuni, Mwinyimkuu Magomeni, jijini Dar es Salaam.
Shilole akimbilia gym kunusuru penzi lake Msanii nyota wa filamu na muziki anayejishughulisha pia na ujasiriamali, Shilole amejishtukia na fasta ameamua kukimbilia gym kupiga tizi ili kupunguza unene alionao kwa nia ya kuokoa penzi lake...
Mwanasheria aeleza kinachofuata ishu ya Ibraah, Harmonize Mkuu wa Kitengo cha Sheria Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) Christopher Kamugisha amesema wamesikiliza malalamiko ya pande zote mbili kuhusu wito wa wasanii Harmonize na Ibraah.
Ibraah awasili Basata, Harmonize anasubiriwa Msanii wa Bongo Fleva, Ibrahim Abdallah Nampunga 'Ibraah' tayari amewasili katika ofisi za Baraza la Sanaa la Taifa (Basata) baada ya taarifa za wito kutokana na kile kinachoendelea kati yake na...
Sakata la Harmonize na Ibraah lafika pabaya Sakata linalomuhusu msanii Ibraah kutaka kuchangiwa Sh1 bilioni na watu ili aondoke kwenye lebo ya Konde Gang inayomilikiwa na Harmonize limefika pabaya baada ya kuanza kutoleana maneno mabaya ya...
Afya ya Mkubwa Fella yazidi kuimarika Miezi michache iliyopita, Mwananchi iliripoti hali ya kiafya ya Meneja wa msanii wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz, Said Fella 'Mkubwa Fella' aliyekuwa akisumbuliwa na presha na kupooza miguu.
Uhusika wa kichawi unavyomtesa Bi Mwenda Mwigizaji mkongwe wa filamu, Fatuma Makongoro ‘Bi Mwenda’ amesema ameacha kuigiza nafasi za ‘kichawi’ baada mashabiki zake kumhisi ni mchawi kweli.