PRIME Masheikh, wanasiasa wataka uchaguzi huru, haki Viongozi wa dini ya Kiislamu nchini wamehimiza umuhimu wa kudumisha amani kama msingi wa haki, maendeleo na utekelezaji wa ibada, wakitoa wito kwa Watanzania kuepuka kauli za chuki au uchochezi...
Amani idumishwe kuelekea uchaguzi mkuu-Kadhi Pwani Waumini hao pia wamechinja mifugo mbalimbali kwa ajili ya sadaka katika maadhimisho hayo.
Waumini wakumbushwa kusamehe wakisherehekea Eid Waumini wa dini ya Kiislamu Kibaha Mkoa wa Pwani waliochini ya Taasisi ya Daarual Arqam Learning Centre wameungana katika kuadhimisha Sikukuu ya Eid El-Adh’haa, maarufu kama Sikukuu ya Kuchinja...
CCM yawaonya viongozi wa UWT uonevu kwenye uchaguzi ujao Katibu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Pwani, Kitte Mfilinge ametoa onyo kwa viongozi wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) mkoani humo, akiwataka kuepuka vitendo vya uonevu, chuki, na...
Wafanyabiashara wa Loliondo Kibaha wapangiwa maeneo mapya Zaidi ya wafanyabiashara 1,000 katika mnada maarufu wa Loliondo Kibaha, Mkoa wa Pwani, wameanza kugawiwa maeneo mapya ya kufanyia biashara kila Jumamosi baada ya kuhamishwa kutoka eneo lao la awali.
Vifo vya wajawazito na watoto vyapungua Pwani Maadhimisho ya Siku ya Wauguzi Duniani hufanyika kila mwaka Mei 12.
Takukuru yaokoa Sh300 milioni za kijiji zilizoingizwa akaunti binafsi Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) Mkoa wa Pwani, imeokoa zaidi ya Sh300 milioni mali ya Kijiji cha Msufini, Wilaya ya Mkuranga, zilizokuwa zimechepushwa na kuingizwa kwenye...
Ubovu wa barabara ulivyomkwamisha Waziri kuhudhuria mkutano Mwananchi limeshuhudia magari yakipata shida kupita katika baadhi ya maeneo na yalishindwa kuendelea na safari kutokana na barabara kujaa matope huku mengine yakinasa, likiwemo gari la Jeshi la...
Wafanyakazi wafurahia nyongeza ya mshahara Wafanyakazi wa umma nchini wamepokea kwa furaha nyongeza ya mshahara wa kima cha chini kutoka Sh370,000 hadi Sh500,000, wakitaja kuwa ni hatua chanya kuelekea kufikia viwango bora zaidi vya...
Mchungaji akumbusha wajibu wa wazazi katika malezi Imeelezwa kuwa uwepo wa vijana waliokosa maadili mema ndani ya jamii kunasababishwa na wazazi wao kushindwa kusimamia malezi na makuzi bora kwa watoto.