Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Uchaguzi Congo waahirishwa kwa miaka miwili

Rais wa Congo Joseph Kabila.

Muktasari:

  • Mwandishi wa BBC, Mbelechi Msoshi, ameripoti taarifa hiyo na kueleza kuwa Tume ya Uchaguzi nchini humo imesema serikali na viongozi wengine walifikia uamuzi huo.

Tume huru ya Uchaguzi ya Congo, imetangaza kuwa uchaguzi mkuu sasa utafanyika Novemba mwaka wa 2018 na wala sio mwaka huu kama ilivyotarajiwa.

Mwandishi wa BBC, Mbelechi Msoshi, ameripoti taarifa hiyo na kueleza kuwa Tume ya Uchaguzi nchini humo imesema serikali na viongozi wengine walifikia uamuzi huo.

Viongozi kadha wa upinzani walioshiriki katika mazungumzo ya amani ya kitaifa wameafikiana na uamuzi huo, lakini kuna wale wanaoupinga wakisema ni njama ya Rais Joseph kabila kusalia madarakani.

Chanzo BBC