Walioingia na kutoka timu Ligi Kuu

Charles Abel, Mwananchi

Zimebaki wiki chache kabla ya kufunguliwa kwa msimu wa Ligi Kuu Tanzania Bara 2019/2020 huku idadi kubwa ya timu zikiwa katika maandalizi.

Uimarishaji wa vikosi kwa kusajili nyota wapya, kuongezea mikataba wale wa zamani na kutema baadhi ya wachezaji ambao wameshindwa kuonyesha kiwango kizuri, ni sehemu ya mikakati ya timu katika maandalizi hayo.

Pia wapo wachezaji ambao wametolewa kwa mkopo kwenda timu nyingine na kuna ambao hawajaongezewa mikataba baada ya ile ya awali kumalizika.

Pamoja na kuanza maandalizi, zipo timu ambazo zimekamilisha usajili wake na baadhi hazijakamilisha wala kutangaza wachezaji gani wanaingia, wapi wanatoka na wanaobaki.

Spoti Mikiki inakuletea orodha ya majina ya wachezaji walioingia na kutoka katika klabu mbalimbali za Ligi Kuu kadri ulivyokamilika hadi sasa.

1.Simba

Walioingia

Miraji Athumani, Kennedy Juma, Tairone Santos da Silva, Gerson Fraga Viera, Wilker Henrique da Silva, Francis Kahata, Deo Kanda, Sharaf Shiboub, Ibrahim Ajibu, Gadiel Michael na Beno Kakolanya.

Waliotoka

Mohammed Rashid, Mohammed Ibrahim, Paul Bukaba, Marcel Kaheza, Adam Salamba, Deogratias Munishi, Abdul Selemani, Asante Kwasi, Zana Coulibaly, Haruna Niyonzima, Emmanuel Okwi, Nicolas Gyan, James Kotei, Emmanuel Mseja na Said Mohammed.

2.Yanga

Walioingia

Patrick Sibomana, Issah Bigirimana, Metacha Mnata, Farouk Shikalo, Seleman Mustafa, Mapinduzi Balama, Lamine Molo, Muharami Issa ‘Marcelo’, Sadney Urikhob, Maybin Kalengo, Juma Balinya, Ally Sonso na Ally Ally.

Waliotoka

Abdallah Shaibu, Pius Buswita, Beno Kakolanya, Matheo Anthony, Baruani Akilimali. Said Musa, Yusuph Mhilu, Haji Mwinyi, Ibrahim Hamid, Thabani Kamusoko na Amissi Tambwe.

3.Azam

Walioingia

Richard Djodi, Emmanuel Mvuyekure, Seleman Ndikumana, Kassim Khamis na Iddi Seleman ‘Nado’.

Waliotoka

Joseph Kimwaga, Ismail Gambo, Hassan Mwasapili, Ramadhan Singano, Tafadzwa Kutinyu, Enock Atta, Stephane Kingue na Daniel Lyanga.

4.KMC

Walioingia

Salim Aiyee, Ramadhani Kapela, Vitalis Mayanga, Baptiste Mugiraneza, Kenny Ally, Melly Sivirwa, Besala Bokungu, Abdallah Mfuko, Amos Charles na Mohammed Samatta.

Waliotoka

Yusuph Abdul, Ally Ally, Masoud Abdallah, Mohammed Rashid, Bryson Rafael,Carlos Protas

5.Prisons

Walioingia

Ramadhani Ibata, John Sungura, Prosper Mwangupili, Fredy Chudu, Salumu Bosco, Jeremia Kisubi, Dotto

Ramadhani Hamidu Daudi, Samson Baraka, Boniphace Chau, Philimon Ramadhani, Adily Buha na Sijalu Nassibu.

Waliotoka

Aron Kalambo, Adam Adam, Kassim Kilungo, James

Mwasote, Innocent Madilile, Elisha kibagwa na Kelvin Friday.

6.Namungo

Walioingia

Mohamed Ibrahim, Paulo Bukaba, Carlos Protas, Nurdin Barora, Styve Nzigamasabo, Abdul Waheed Adesola, Stephen Duah, Toure Sie Leopold, Sina Jerome na Bigirimana Blaise.

Waliotoka

Oscar Masai, Mbaraka Yusuph, Steve, Mangwanja, George Banda, Nguluko Machele, Jamal Machelenga, Fred Mlelwa, Rajab Mlangali, Mustapha Makacho, Ramadhani ‘Wasso’ na Calvin Faru.

7.Kagera Sugar

Benedictor Tinoco, Abdul Swamad Kassim, Moussa Hadji, Awesu Awesu, Yusuph Mhilu, Geoffrey Mwashiuya, Nassoro Kapama, Abdallah Seseme, Hassan Isihaka, Evarist Mjwahuki, Zawadi Mauya, Erick Kyaruzi, Erick Mwaijage na Haroun Kheri.

Waliotoka

George Kavila, Ramadhani Kapera, Omari Daga, Venance Ludovic,

8.Alliance FC

Walioingia

Hussein Kasanga, Dany Manyenye, Erick Murilo.

Waliotoka

Ibrahim Isihaka, Hussein Javu, Mapinduzi Balama, Paul Maona, Blaise Bigirimana, Dickson Ambundo na

9.Mbao FC

Walioingia

Yusuph Athuman, Sospeter Maiga, Rajab Rashid, Kauswa Bernard, John Mtobesya, Waziri Junior, Mosses Nassoro, Greyson Gwalala.

Waliondoka

David Mwassa, Abubakar Ngalema, Hussein Kasanga, Erick Murilo, Amimu Abdulkarim, Hashim Musa

10.JKT Tanzania

Walioingia

Jabir Aziz, Daniel Lyanga, Adam Adam na Adeyoum Ahmed

Waliotoka

Nassoro Kapama, Ally Shiboli

11. Ndanda FC

Walioingia

Hussein Javu, Ally Mustafa, Paulo Maona

Waliotoka

Samson Nsata, Emmanuel Memba, Abdallah Mfuko, Yusuph Mhilu, Vitalis Mayanga, Hassan Maulid, Yassin Mustapha, Baraka Majogoro, Augustine Samson,

12.Mbeya City

Waliotoka

Frank Ikobela, Erick Kyaruzi, Mohammed Samatta

13.Biashara United

Walioingia

Salum Chuku, James Mwasote, Joseph Kimwaga, Khamis Batozi.

Walioondoka

Joseph Mapembe, Nurdin Barola, Dany Manyenye, Waziri Junior

14.Lipuli

Walioingia

Mwinyi Ahmed Elliasa, Duchu Emmanuel na Agathony Mkwando.

Waliotoka

Zawadi Mauya, Mohamed Yusuph, Miraji Athumani, Paul Ngalema na William Lucian.

15. Polisi Tanzania

Walioingia

Ditram Nchimbi, Mohammed Yusuph, Erick Msagati, Idd Mobby, Hassan Nassor Maulid, Yassin Mustapha, Baraka Majogoro,Pato Ngonyani, William Lucian.

16. Singida United

Walioingia

Ismail Mohamed, Pascal Ndagha, Pius Luchangula, Said Mtikila, Said Mkwazu na Herman Frimpong

Waliotoka

David Kissu, Habib Kiyombo, Awesu Awesu, Geoffrey Mwashiuya, Ally Mustafa na Mohamed Abdallah.

17.Mtibwa Sugar

Walioingia

Abdulhalim Humud, Mohamed Abdallah, Said Mohamed na Awadh Salum.

Waliotoka

Rodgers Gabriel, Hassan Isihaka, Benedictor Tinoco, Ally Shomary na Kelvin Sabato.

18.Mwadui FC

Walioingia

Musa Runi, Augustine Samson, Melikiad Mazela, Venance Ludovic, Muksin Ulaya, Marick Kapolo, Abuu Kambi, Fadhil Masoud, Musa Nampaka, Hashim Musa, Omari Daga, Emmanuel Memba na Rodgers Gabriel.