Mario Goetze awagutusha Dortmund
Wednesday November 7 2018

Kwa ufupi
Wachezaji wa timu ya Borussia Dortmund wanaamini kuwa wanapaswa kubeba lawama kutokana na kipigo cha mabao 2-0 walichokipata kutoka kwa Atletico Madrid, katika Ligi ya Mabingwa Afrika.