Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Ndugai achaguliwa tena kuwa Spika wa Bunge

Muktasari:

Mbunge wa Kongwa (CCM), Job Ndugai amechaguliwa kuwa Spika wa Bunge la 12 baada ya  kupata kura 344 kati ya kura 345 zilizopigwa sawa na asilimia 99.7. Kura moja ilimkataa. Ndugai alikuwa spika katika Bunge la 11

Mbunge wa Kongwa (CCM), Job Ndugai amechaguliwa kuwa Spika wa Bunge la 12 baada ya  kupata kura 344 kati ya kura 345 zilizopigwa sawa na asilimia 99.7. Kura moja ilimkataa. Ndugai alikuwa spika katika Bunge la 11