Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Askari akutwa mtaroni akiwa amefariki

Muktasari:

Mwili wa askari wa kituo cha polisi Kia wakutwa mtaroni ukiwa na jeraha kubwa kisogoni.

Hai. Askari  wa kituo  cha polisi Kia, Sajenti Juma Ango amekutwa akiwa ametupwa mtaroni mita chache kutoka kituo cha polisi Hai Mjini.

Mkuu  wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya amesema watu wiliokuwa wakifyeka majani kandokando ya barabara ndio waliokutana na mwili huo.

Sabaya amesema  mwili huo umekutwa ukiwa na na jeraha kubwa kisongoni na kwamba alikuwa amepigwa na kitu chenye ncha kali.

"Taarifa zinasemekana alikuwa na askari wenzake  jana hadi saa nane usiku  maeneo ya Msami,"amesema Sabaya