Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Habari ya ‘Mnyongaji’ ilivyompa ushindi Mwandishi wa Mwananchi

Muktasari:

Habari hiyo ilikuwa ni ya mahojiano na aliyekuwa mnyongaji  Mkuu wa gereza la Isanga na ilipewa kichwa cha habari cha  ‘Mtu anayefanya kazi ngumu kuliko zote’.

 Moja ya habari zilizompa ushindi  wa tuzo za umahiri Mwandishi wa Habari wa gazeti la Mwananchi, Florence Majani,  ni ile ya  mnyongaji Mkuu wa Gereza la Isanga. 

 Habari hiyo ilikuwa ni ya mahojiano na aliyekuwa mnyongaji  Mkuu wa gereza la Isanga na ilipewa kichwa cha habari cha  ‘Mtu anayefanya kazi ngumu kuliko zote’.

 Ilieleza jinsi waliohukumiwa kunyongwa wanavyoandaliwa, wanavyonyongwa na maisha ya kila siku ya mnyongaji huyo.

Habari ya ‘Mnyongaji’ ilivyompa ushindi Mwandishi wa Mwananchi

Kwa habari zaidi kuhusu habari hiyo  ya Mnyongaji wa gereza la Isanga,usikose gazeti lako la  Mwananchi kesho.