Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Moto wateketeza soko Tunduma

Muktasari:

Soko la Manzese lililoko katika Halmashauri ya Mji wa Tunduma mkoani Songwe linawaka moto muda huu.

Tunduma. Soko la Manzese lililoko katika Halmashauri ya Mji wa Tunduma mkoani Songwe linawaka moto muda huu.

Moto huo ambao chanzo chake bado hakijajulikana umeanza leo Jumanne Novemba 16, 2021 asubuhi ambapo Jeshi la Zimamoto na Uokoaji kwa kushirikiana na wananchi wanaendelea kuuzima.

Soko hilo lina maduka ambayo yanauza bidhaa mbalimbali zikiwamo nguo, vipodozi, vifaa vya magari na viatu

Akizungumza na Mwananchi kwa njia ya simu wakati akiwa njiani kwenda kwenye soko hilo, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Songw, Janeth Magomi amethibitisha tukio hilo akiahidi kutoa taarifa baada ya kufika kwenye soko hilo.

Endelea kufuatilia Mwananchi kwa taarifa zaidi.