Wakuu wa Wilaya wapya 2021

Wakuu wa Wilaya wapya 2021

Muktasari:

  • Ahadi imetimia. Ndivyo unavyoweza kusema baada ya Rais Samia Suluhu Hassan jana kutekeleza ahadi yake ya kupangua wakuu wa wilaya aliyoitoa wiki iliyopita na katika uteuzi alioufanya  usiku,  zipo sura mpya kadhaa,  baadhi wakihamishwa na wengine kutemwa.

Dar es Salaam. Ahadi imetimia. Ndivyo unavyoweza kusema baada ya Rais Samia Suluhu Hassan jana kutekeleza ahadi yake ya kupangua wakuu wa wilaya aliyoitoa wiki iliyopita na katika uteuzi alioufanya  usiku,  zipo sura mpya kadhaa,  baadhi wakihamishwa na wengine kutemwa.

Uteuzi huo ulitangazwa jana na mkurugenzi wa mawasiliano ya rais Ikulu,  Jaffar Haniu na kubainiaha kuwa wateule hao wataapishwa Juni  21 na wakuu wa mikoa.

Arusha

Arusha,  Sophia Mjema (Arusha),  Richard Ruyango (Arumeru),  Raymond Mangwala (Ngorongoro),  Nurdin Babu (Longido),  Frank Mwaisumbe (Monduli),  Abbas Kayanda (Karatu)

Dar es Salaam

Godwin Gondwe (Kinondoni),  Ng'wilabuza Ludigija (Ilala),  Jokate Mwegelo (Temeke),  Fatma Nyangasa (Kigamboni),  Khery James (Ubungo).

Dodoma

Gift Msuya (Chamwino),  Jabil Shwkimweli (Dodoma),  Simon Chacha (Chemba),  Khamis Mkanachi (Kondoa),  Mwanahamisi Munkunda (Bahi),  Josephat Maganga (Mpwapwa),  Remedius Emmanuel (Kongwa).

Geita

Said Nkumba (Bukombe), Charles Kabeho (Mbogwe),  Jamhuri William (Nyang'hwale),  Wilson Shimi (Geita),  Martha Mkupasi (Chato).

Iringa

Saada Mtambule (Mufindi),  Peres Magiri (Kilolo) na Mohamed Moyo (Iringa), 

Kagera

Kemilembe Lwota (Biharamulo),  Julieth Nkebanyi (Karagwe),  Toba Nguvila (Muleba),  Rashid Mohamed (Kyerwa),  Moses Machali (Bukoba),  Mathias Kahabi (Ngara),  Kanali W.C Sakullo (Misenyi).

Katavi

Filberto Sanga (Mlele),  Jamila Kimaro (Mpanda),  Onesmo Buswelu (Tanganyika).

Kigoma

Ester Mahawe (Kigoma),  Kanali A J Mwakisu (Kasulu),  Kanali Michael Masala (Kakonko),  Hanafi Msabaha (Uvinza),  Kanali Michael Nyayalina (Buhigwe),  Kanali A J Magwaza (Kibondo).

Kilimanjaro

Thomas Upson(Siha),  Said Mtanda (Moahi),  Abdallah Mwaipaya (Mwanga),  Kanali Maiga (Rombo),  Juma Irando (Hai),  Edward Mpogolo (Same).

Lindi

Hashim Komba (Nachingwea),  Hassan Ngoma (Ruangwa),  Judith Nguli (Liwale),  Shaibu Ndemanga (Lindi),  Zainabu Mfaume (Kilwa).

Manyara

Lazaro Twangwe (Babati),  Sezalia Makota(Mbulu),  Janeth Mayanja (Hanang),  Mbaraka Batenga (Kiteto),  Dk Suleiman Selela (Simanjiro).

Mara

Juma Chikoka (Rorya),  Dk Vicent Mashinji (Serengeti),  Joshua Nassari (Bunda),  Mosses Kaigere (Butiama),  Kanali Michael Mtenjele (Tarime),  Dk Halfan Haule (Musoma)

Mbeya

Mayeka Mayeka (Chunya),  Ismail Mlawa (Kyela),  Dk Rashid Chuachua (Mbeya),  Dk Vicent Anney (Rungwe),  Ruben Mfune (Mbarali).

Morogoro

Jabil Makame (Gairo),  Hanji Godigodi (Kilombero),  Halima Okashi (Mvomero),  Albert Msando (Morogoro),  Ngollo Malenya (Ulanga), Majid Mwanga (Kilosa).

Mtwara

Mwangi Kundya (Newala),   Mariam Chaurembo ( Nanyumbu),  Dunstan Kyobya (Mtwara),  Claudia Kita (Masasi),  Kanali Patrick Sawala (Tandahimba).

Mwanza

Hassan Masala (Ilemela), Johari Samizi (Kwimba),  Senyi Ngaga (Sengerema),  Amina Makilagi (Nyamagana), Salum Kalli (Magu),  Kanali Dennis Mwila (Ukerewe), /Veronika Kessy (Misungwi).

Njombe

Kisa Kasongwa (Njombe),  Andrea Tisere (Ludewa), Lautel Kanoni (Wanging'ombe),  Juma Sweda (Makete)

Pwani

Zainab Issa (Bagamoyo),  Hadija Ali (Mkuranga), Kapteni  Gowelle (Rufiji),  Martin Ntemo (Mafia),  Sara Msafiri (Kibaha),  Nickson  John (Kisarawe),  Kanali Ahmed A (Kibiti).

Rukwa

Sebastian Waryuba (Sumbawanga),  Peter Lijualikali (Nkasi),  Tano Mwela (Kalambo),.

Ruvuma

Julius Ningu (Namtumbo),  Aziza Mangosango (Mbinga),  Kanali Thomas (Nyasa),  Julius Mtatiro (Tunduru), Polotet Mgema (Songea).

Shinyanga

Joseph Mkude (Kishapu),  Jasinta Mboneko (Shinyanga),  Festo Kiswaga (Kahama).

Simiyu

Gabriel Olemigili (Busega),  Aswege Kaminyonge (Maswa),  Charles Mhina (Bariadi),  Fauzia Ndatumbula (Meatu),  Faiza Salim (Itilima).

Singida

Sofia Kizigo (Mkalama),  Rahabu Mwagisa (Manyoni),  Paskasi Murangili (Singida),  Jerry Muro (Ikungi),  Kenani Kihongozi (Iramba).

Songwe

Simon Simalenga (Songwe),  Anna Gidarya (Ileje),  Cosmas Nshenye (Mbozi),  Fack Lulandala (Momba).

Tabora

Advera Bulimba (Nzega),  Matiko Chacha (Kaliua),  Sauda Mtondoo (Igunga), John Palingo (Sikonge),  Dk Yahya Nawanda (Tabora),  Luis Bura (Urambo),  Kisare Makoli (Uyuni).

Tanga

Hashim Mgandilwa (Tanga),  Halima Bulembo (Muheza),  Kanali Sulumbu (Mkinga),  Ghaibu Ringo (Pangani), Siriel Nchembe (Handeni),  Basila Mwanukuzi (Korogwe),  Abel Busalama (Kilindi),  Kalist Bukhay (Lushoto).