Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Serengeti Girls yatakata Kombe la Dunia

TIMU ya Taifa Tanzania chini ya miaka 17 upande wa Wanawake 'Serengeti Boys' imepata ushindi wa kwanza baada ya kuifunga 2-1 Ufaransa katika Fainali za Kombe la Dunia zinazoendelea nchini India.
 


Serengeti ambayo ipo kundi D imepata pointi tatu za kwanza, huku mchezo wa kwanza ikifungwa 4-0 na Japan.

Mabao ya Diana Mnally na Christer John yalitosha kuifanya Serengeti Girls itoke kifua mbele kwenye mchezo huo ambao ulikuwa na ushindani mkubwa.

Katika mchezo huo kiungo wa Serengeti Girls, Joyce Lema alionyeshewa kadi nyekundu baada ya kuonyeshewa kadi mbili hali itakayomfanya akose mchezo ujao.

Serengeti itashuka tena uwanjani dhidi ya Canada Oktoba 18 mchezo ambao wanahitaji ushindi ili kuwa katika uhakika wa kusonga mbele zaidi katika hatua ya mtoano.