Picha Madiwani wa upinzani wasusia kikao Mtwara Jumapili, Novemba 10, 2024 Baadhi ya madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Mtwara wakiondoka katika ukumbi wa mikutano baada ya kususia kikao kwa madai ya kutoridhishwa na mchakato wa uchaguzi wa serikali za mitaa. Photo: 1/2 View caption Photo: 2/2 View caption Login to join the discussion Please enable JavaScript to view the comments powered by Disqus.
PRIME Nani kasema kitanda hakizai haramu? Hamjasikia visa vya baadhi ya wanaume kuua watoto wasio wao au wanandoa wanaoua wenzao wagunduapo wamebambikiwa watoto? Je hapa kitanda hakijazaa haramu na jinai?
Mchome avuliwa uongozi Chadema Mchome amekutana na kadhia hiyo kipindi ambacho amekuwa na migogoro na chama chake hasa baada ya barua ya malalamiko dhidi ya baadhi ya viongozi wa sekretarieti na kamati kuu akidai walipitiswa...
CCM yajibu aliko Wasira Baadhi wamekwenda mbali zaidi na kusema, pamoja na kutoonekana majukwaani, hakuonekana hata katika msiba wa Makamu wa Kwanza wa Rais na Waziri Mkuu mstaafu, Cleopa Msuya.