Picha Ziara ya Rais Samia mkoani Geita Jumamosi, Oktoba 15, 2022 Rais Samia Suluhu Hassan akiwasalimia wananchi wa Katoro mkoani Geita wakati alipowasili mkoani humo kufanya ziara ya kikazi ya siku moja leo Jumamosi Oktoba 15, 2022. Photo: 1/1 View caption Login to join the discussion Please enable JavaScript to view the comments powered by Disqus.
PRIME Mama asimulia mwanaye aliyeuawa kwa kipigo… “Mama nimepigwa sana… mama nisaidie, sijaleta vitu, nimekuja mama yangu unisaidie, nakufa nisaidie.”
Malima azionya asasi, mashirika ya kiraia kuelekea uchaguzi mkuu Katika kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025, Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Adam Malima amezitaka taasisi zisizo za kiserikali (NGO) kutoshirikiana na wanaharakati wa kisiasa wenye nia ya kuvuruga...
Polisi yawanasa watuhumiwa madai mauaji ya kijana kwa kipigo Geita Jeshi la Polisi Mkoa wa Geita limewakamata watu wawili akiwemo Ofisa Mtendaji wa Kijiji cha Liyobahika, Ferdinand Antony kwa tuhuma za mauaji ya kijana Enock Mhangwa, huku watuhumiwa wengine...