Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Kaimu Mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania, Hilda Bujiku amekuwa ni Mtanzania wa kwanza na mwanamke wa kwanza kuiongoza kampuni hiyo kubwa nchini. Katika mahojiano maalum na Mwananchi, anaelezea safari yake hadi kufikia nafasi hiyo na mikakati yake ya kuipaisha Zaidi Vodacom katika shughuli zake za kuwaunganisha watanzania kupitia teknolojia ya mawasiliano na kuboresha maisha yao.