Sita mbaroni tuhuma za mauaji maofisa wa Uhamiaji Geita
Watu sita wamekamatwa kwa tuhuma za mauaji ya watu watatu wakiwamo askari wawili wa Uhamiaji yaliyotokea kijiji cha Mtakuja, Kata ya Lulembela, Wilaya ya Mbogwe mkoani Geita
Watu sita wamekamatwa kwa tuhuma za mauaji ya watu watatu wakiwamo askari wawili wa Uhamiaji yaliyotokea kijiji cha Mtakuja, Kata ya Lulembela, Wilaya ya Mbogwe mkoani Geita