Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

885 results for Florah Temba :

  1. Kagoma wa Chadema atimkia CCM, aomba ridhaa kuwania udiwani Kiboriloni

    Baada ya kukabidhiwa kadi, Kagoma amechukua fomu ya kuomba kuteuliwa na chama hicho kugombea udiwani katika kata hiyo.

  2. Mwenyekiti Chaumma Kilimanjaro ahojiwa na Takukuru

    Mwenyekiti wa Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma) Mkoa wa Kilimanjaro, Gervas Mgonja amehojiwa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) Mkoa wa Kilimanjaro, kufuatia kauli...

  3. Mwenge wa Uhuru kukagua miradi 52 ya Sh84.9 bilioni Kilimanjaro

    Mwenge wa Uhuru unatarajiwa kukimbizwa katika Mkoa wa Kilimanjaro kuanzia Juni 28 hadi Julai 4, 2025, ambapo utapitia miradi 52 ya maendeleo yenye thamani ya Sh84.9 bilioni.

  4. Ofisa Magereza Moshi apandishwa kizimbani kwa kesi ya ulawiti

    Ofisa wa Magereza, Emmanuel Nyange (35), ameshtakiwa na kupandishwa kizimbani katika Mahakama ya Wilaya ya Moshi, mkoani Kilimanjaro, akikabiliwa na shtaka la kumlawiti mtoto wa miaka 13.

  5. Ndoto Moshi kuwa jiji yagonga mwamba, Meya aeleza masikitiko

    Meya wa Manispaa ya Moshi, Zuberi Kidumo amesema licha ya mafanikio yaliyopatikana katika kipindi cha miaka mitano ya uongozi wa Baraza la Madiwani, ndoto ya kuipandisha hadhi Moshi kuwa jiji...

  6. Jamii yabebeshwa mzigo kukomesha ukatili, uvunjaji haki za binadamu

    Jamii imetakiwa kukemea na kuchukua hatua madhubuti kukabiliana na ongezeko la vitendo vya ukatili na uvunjaji wa haki za binadamu vinavyozidi kuripotiwa maeneo mbalimbali nchini, huku chanzo...

    New Content Item (2)
  7. Watatu ACT Wazalendo wajitosa kupeperusha bendera Moshi Mjini

    Makada hao ambao ni Hassan Machaku, Elisha Mangwasi na Hanaf Mwetta wamechukua fomu kwa nyakati tofauti katika ofisi za chama hicho mkoa, zilizopo mtaa wa Kiusa, mjini Moshi, huku wakijipambanua...

  8. PRIME Waliokuwa wabunge wapiga jaramba kurudi bungeni

    Kwenye kundi hilo wapo walikuwa mawaziri na naibu mawaziri wameonyesha nia ya kuingia katika uchaguzi mkuu ujao kuchuana na wenzao walioingia mwaka 2020 ambao wamebakisha siku 23 kumaliza...

  9. Lema: Uamuzi wangu kumuunga mkono Lissu ulikuwa wa kimungu

    Katika mkutano huo, Lema alisema, “Mimi ni Mmachame na Mbowe Mmachame, lakini kwa Lissu, sioni aibu kusema mbele ya Mungu nimefanya uamuzi wa Kimungu.”

  10. Mnyika: Watanzania tuendeleze kupigania Katiba Mpya

    Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimewataka Watanzania kuendeleza mapambano ya kudai Katiba Mpya na kuondolewa kwa kasoro zote zinazofanya chaguzi zisiwe huru na haki.

Page 1 of 89

Next