Search

416 results for Florence Sanawa :

  1. Bei ya ufuta yafurahisha wakulima

    Amesema kuwa katika msimu uliopita alivuna tani 4.3 ambapo aliuza kwa Sh4,000 na mwaka huu ana matumaini kupata zaidi ya mavuno ya awali .

  2. Nyumba 145 zazingirwa na maji Lindi, 35 zabomoka

    Zaidi ya nyumba 145 zimezingirwa na maji huku nyingine 35 zikibomoka na kuharibika, kufuatia mvua kubwa iliyonyesha mkoani Lindi kwa siku tatu mfululizo na kuleta athari kubwa katika Wilaya ya...

  3. Ujenzi wa barabara Somanga waanza, mawe yamwagwa

    Kufuatia agizo la Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa la kutaka barabara ya Dar es Salaam – Mtwara kuanza kujengwa maramoja katika eneo la Somanga, Wakala wa Barabara nchini (Tanroads) mkoa wa...

  4. Abiria wa Mtwara – Dar sasa wazunguka barabara ya Songea

    Baada ya Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (Latra) kutoa vibali vya dharura kwa mabasi kupita njia ya Songea wakitokea Lindi na Mtwara, hali ni tete kwa Mkoa wa Lindi huku mkoa wa Mtwara...

  5. Wafanyabiashara waliokwama Somanga wasimulia adha kukatika kwa barabara

    Maoni ya wafanyabiashara hao yanafuata baada ya Mwenyekiti wa Wafanyabiashara Taifa, Hamis Livembe kutoa tahadhari kwa wafanyabiashara kutokana na miundombinu ya barabara kusombwa na maji, baadhi...

  6. 13 wajeruhiwa ajali ya basi Masasi, dereva akikwepa shimo katikati ya barabara

    Kamanda Suleiman amesema chanzo cha ajali hiyo ni shimo kubwa lililopo katikati ya barabara ambapo wakati dereva anajaribu kulikwepa, basi lilikatika spring na kupinduka.

  7. Kimbunga Hidaya chakata mawasiliano mikoa ya Kusini- Dar

    “Uharibu ni mkubwa hatuwezi kurekebisha kwa kipindi kifupi. Tumeshauri watu wasitishe safari au wazunguke Songea (mkoani Ruvuma) kama ni dharura ili wasije kuathirika. Ni vema watu wa Lindi...

  8. PRIME Kishindo cha Kimbunga Hidaya

    Upepo mkali ulivuma usiku kucha wa jana na leo asubuhi maeneo ya Dar es Salaam, Lindi, Mtwara na Pwani hususan Kisiwa cha Mafia na inadaiwa nyumba 30 hadi 50 zimeathiriwa

  9. Wavuvi waendelea na kazi licha ya tishio la Kimbunga Hidaya

    Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa tahadhari ya kuwepo kwa Kimbunga Hidaya kikiwa na upepo mkali na kuwatahadharisha watumiaji wa bahari kuwa makini ili kuepuka madhara

  10. Kimbunga Hidaya chapandisha bei ya samaki Mtwara, Lindi

    Athari za Kimbunga Hidaya zimeanza kuonekana katika mikoa ya Mtwara na Lindi baada ya wavuvi wengi kushindwa kufanya kazi na kusababisha bei ya samaki kupanda.

Page 1 of 42

Next