Watanzania waibuka washindi wa Tuzo ya Kiswahili ya Safal ya Fasihi 2024 Tuzo hiyo iliyoanzishwa mwaka 2015 na Dk Lizzy Attree na Dk Mukoma Wa Ngugi mwaka 2014 ili kutambua uandishi kwa lugha za Kiafrika na kuhimiza tafsiri kutoka lugha hizo, inafadhiliwa na Kampuni...
Rais Mwinyi awaweka pembeni RC, ma- DC wakiwamo wanaoutaka uwakilishi, ubunge Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi amefanya uteuzi wa mkuu wa mkoa na wakuu wa wilaya watano kufuatia baadhi ya waliokuwa wakishikilia nafasi hizo kuchukua fomu kwa ajili ya kuwania nafasi za...
Chifu Yemba bado anautaka urais, achukua fomu kuomba ridhaa Hatua ya Yemba kuchukua fomu hiyo inafikisha idadi wanachama wawili wa chama hicho kuania nafasi hiyo akitanguliwa na Kiwale Mkungutila, huku kwa upande wa aliyechukua fomu akiwa Hamad...
Aliyekosa fursa kuwania urais TLP aipata ADC, Hamad Rashid… Chama cha Alliance For Change, (ADC), kimemchagua Wilson Elias kuwa mpeperusha bendera kwa tiketi ya chama hicho kwa nafasi ya urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Uchaguzi Mkuu...
Yanga, Singida BS ni fainali ya heshima, rekodi na kisasi Imepita takribani miezi minane sawa na siku 243 tunarudi tena New Amaan Complex, Zanzibar kushuhudia Singida Black Stars ikicheza dhidi ya Yanga.
Manula arejeshwa Taifa Stars akinusa rekodi CHAN Baada ya kutojumuishwa katika kikosi kwa siku 221, kipa Aishi Manula ameitwa katika kikosi cha wachezaji 27 wa timu ya taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ kitakachoshiriki Fainali za Mataifa ya...
Washindi Tuzo ya Safal ya Kiswahili kujulikana Julai 3 Wakati washindi wa tuzo ya Kiswahili ya Safal ya Fasihi ya Afrika kwa tanzu za riwaya, ushairi, wasifu, tamthilia na michoro wakitarajiwa kutangazwa Julai 3, 2025, imeelezwa kuwa kiwango cha...
Ligi Kuu ngoma imeisha hivi Yanga imefanikiwa kupata ushindi wa mabao 5-0 dhidi ya Dodoma Jiji na kufanikiwa kufunga mabao kumi kwenye michezo miwili baada ya siku tatu nyuma kuichapa Tanzania Prisons mabao 5-0 kwenye...
Yaliyotikisa Baraza la Kumi, Rais Mwinyi kulivunja Baraza la Wawakilishi la Kumi linafikia tamati ya uhai wake baada ya kipindi cha miaka mitano, likiacha kumbukumbu ya kumaliza majukumu yake chini ya Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUK), mfumo wa...
Matarajio bajeti ya Zanzibar 2025/2026, ikiwasilishwa Baraza la Wawakilishi Wakati Bajeti ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) kwa mwaka wa fedha 2025/2026 yenye makadirio yanayofikia Sh6.8 trilioni ikisomwa kesho, wananchi na wataalamu mbalimbali wameendelea kutoa...