Rais Samia awatunuku nishani Kikwete, Magufuli Marais Jakaya Kikwete na hayati John Magufuli, wametunukiwa nishani ya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
PRIME Hayati Karume unayajua haya? Nisikilize... Siku ile unauawa Kisiwandui, kuna binti alikuwa na umri wa miaka 12, akimaliza mwaka wa mwisho, Shule ya Msingi Mahonda, Zanzibar.
Maduka saba yafungiwa kwa kukaidi bei elekezi ya sukari Huu ni mwendelezo wa operesheni ambao ilianza kufanywa na Tume hiyo Unguja, ambako maduka 20 yalifungwa.
Wanne mbaroni kwa kutumia majina ya viongozi kutapeli Yamo ya mawaziri Dk Stergomena Tax, Innocent Bashungwa, Mohamed Mchengerwa, Mhandisi Hamad Masauni, na Katibu Mkuu wa zamani wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Daniel Chongolo.
Kalenda ya Fifa yazibeba Simba, Yanga Muda mchache baada ya droo, Mtendaji Mkuu wa Yanga, Andrew Ntime alisema haoni kama ni vyema wachezaji wa timu hiyo kwenye na kikosi cha Stars.
Mbangula afande aliyemfunga Manula mabao matatu Kazi nzuri haiwezi kumtupa mtu, ndicho kilichotokea kwa mshambuliaji wa Tanzania Prisons, Samson Mbangula aliyegeuka habari ya mjini, baada ya kuifunga Simba.
Mahakama ya Rufani yabariki Waziri kulipwa fidia Sh1.2 bilioni Mahakama Kuu imeiamuru Kampuni ya Wings Flight kuilipa fidia Kampuni yab Alliance Cargo Handling Limited ya Waziri Masauni na wenzake Arthur Mosha na Juma Mabakila
Saba kortini wakidaiwa kusafirisha sukari, mafuta ya kula kwa magendo Washtakiwa wanadaiwa kuingiza bidhaa hizo kwa njia ya magendo kwa kukwepa ushuru.
PRIME Mustakabali wa viongozi wapya ACT-Wazalendo Kiongozi mpya wa chama, Dorothy Semu, atangaza msimamo, huku wachambuzi wakieleza mustakabali wa chama hicho kikuu cha upinzani Zanzibar
PRIME Hapatoshi Othman, Babu Duni uchaguzi ACT-Wazalendo Babu Duni anatetea uenyekiti, akisisitiza kumalizia mabadiliko, hasa kuhusu Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar. Othman Masoud asisitiza utekelezaji wa mpango mkakati wa chama na ahadi kwa...