Wizara yafunga shughuli za uvuvi kwa muda Ziwa Ikimba Wizara ya Mifugo na Uvuvi imefunga shughuli za uvuvi katika Ziwa Ikimba mkoani Kagera kwa kipindi cha miezi sita.
Mwenyekiti Uvccm Kagera aja na kauli 'Mtaa hautaki Digree wala PhD kuonekana mchapa kazi' Mwenyekiti wa Uvccm Mkoa Kagera, Faris Buruhan amesema mtaa hautaki digree wala PhD ili uonekane kijana mchapa kazi.
Mwabukusi azungumzia kifo cha Wakili Seth Rais wa Chama cha Mawakili Tanganyika (TLS), Boniface Mwabukusi amesema mara ya mwisho kuonekana hadharani Wakili Seth Niyikiza, ilikuwa Februari 19, 2025 hadi alipopatikana akiwa amefariki dunia...
Kiongozi wa TLS Kagera akutwa amekufa nyumbani kwake Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) Mkoa wa Kagera, Seth Niyikiza amefariki dunia akiwa kajifungia ndani mwake.
Wanne mbaroni wakidaiwa kuua, kudumbukiza mwili kwenye shimo la choo Kyerwa. Jeshi la Polisi Mkoa wa Kagera linawashikilia watu wanne kati ya saba wakiwamo wanafamilia wa Kijiji cha Kishanda Kata Kibare wilayani Kyerwa kwa tuhuma za mauaji ya Francis Butoto...
Ripoti yaonesha Padri Rwegoshora anayekabiliwa na kesi ya mauaji, yupo timamu Ripoti ya kitabibu kutoka Hospitali ya Gereza la Isanga iliyopo mkoani Dodoma imeonesha mshtakiwa wa kwanza katika kesi ya mauaji ya mtoto mwenye ulemavu wa ngozi, Padri Elipidius Rwegoshora ana...
Mwamba uliokwamisha ujenzi bandari ya Bukoba wapasuliwa Upanuzi wa bandari ya Bukoba uliokuwa umesimama kutokana na kukumbwa na changamoto ya mwamba uliobainika chini ya maji katika ziwa Victoria mkoani Kagera, sasa upo katika hali nzuri kufuatia...
Wawili wakutwa na vimelea vya kipindupindu Bukoba Bukoba. Watu wawili kati ya watano waliofikishwa katika Hospitali ya Manispaa ya Bukoba mkoani Kagera wakihisiwa kuwa na dalili za kipindupindu, wamethibitika kuwa na vimelewa vya ugonjwa...
Mama na mwanaye wakutwa wamefariki dunia chumbani kwa kukosa hewa Watu wawili, mama na mtoto wake, wamekutwa wamefariki dunia ndani ya chumba wanachoishi huku chanzo kikitajwa kuwa ni kukosa hewa baada ya kuacha jiko la mkaa likiwaka usiku wakati wamelala.
Maofisa kozi ya kistratejia waweka kambi Kagera Maofisa 10 waandamizi wa kijeshi, kiraia na vyombo vya ulinzi na usalama kutoka ndani ya nchi na nchi rafiki, ambao ni wanachuo wa Chuo cha Taifa cha Ulinzi Tanzania (NDC), wamepiga kambi ya...