Search

78 results for Anna Potinus :

  1. Dk Kihamia ateua kaimu mkurugenzi jiji la Arusha

    Miongoni mwa tuhuma zinazomkabili Dk Pima na wenzake wengine watano ni pamoja na ubadhirifu wa fedha za Serikali.

  2. Rais Samia aridhia nyongeza ya mishahara kwa asilimia 23.3

    Taarifa ya Ikulu imesema Serikali itatumia Sh9.7 trilioni katika mwaka wa fedha 2022/23 kwa ajili ya mishahara, ambapo kati yake Sh1.59 trilioni sawa na asilimia 19.51 ni ongezeko katika bajeti...

  3. Jokate afunguka sakata la Wema Sepetu, ataka sheria ifuatwe

    Mkuu wa Wilaya wa Temeke (DC), Jokate Mwegelo ameingilia kati sakata linalomuhusisha mrembo Wema Sepetu na mfanyabiashara Aristote ambapo amesema kuwa kitendo alichokifanya mfanyabiashara huyo si...

  4. Kazi mpya ya Profesa Kabudi, Lukuvi hii hapa...

    Ametoa kauli hiyo leo Jumatatu Januari 10, 2022 katika hafla ya uapisho wa viongozi mbalimbali walioteuliwa hivi karibuni ambapo amewataja viongozi hao wawili aliyekuwa Waziri wa Katiba na...

  5. Rais Samia afanya uteuzi

    Rais Samia Suluhu Hassa amemteua Balozi Ali Siwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF).

  6. Utata bilionea aliyemhonga mpenzi wake Sh2.3 bilioni

    Raia wa Ubelgiji, Merc De Mesel ambaye anatajwa kuwa miongoni mwa mabilionea, amelalamikia kitendo cha mpenzi wake kusumbuliwa baada ya kumwekea kiasi cha Sh2.3 bilioni kwenye akaunti yake ya benki.

  7. VIDEO: Mo ajiuzulu uenyekiti wa bodi Simba, Try Again amrithi

    Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Simba, Mohammed Dewji ‘Mo’ ametangaza kujiuzulu nafasi hiyo baada ya makubaliano yaliyofikiwa katika mkutano uliofanyika Septemba 21, 2021.

  8. Ujumbe wa Samia akihutubia UN

    Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameuomba Umoja wa Mataifa kuondoa hati miliki kwenye uzalishaji wa chanjo ya Uviko-19 ili mataifa mengi yaweze kuizalisha na kuitoa kwa wananchi wake.

  9. Watu 41 wafariki dunia Indonesia

    Takribani watu 41 wamefariki dunia nchini Indonesia baada ya kutokea ajali ya moto katika gereza la Tangerang katika mji mkuu wa nchi hiyo, Jakarta.

  10. Madhara ya kiafya wanayoweza kupata wasugua miguu, kucha

    Biashara ya kutengeneza kucha na kusafisha miguu ni maarufu, hasa katika miji mikubwa hapa nchini.

Previous

Page 2 of 8

Next