Akimbia toka Tanga hadi kilele Mlima Kilimanjaro kwa saa 65 Mtanzania Gaudence Lekule ambaye anashikilia rekodi ya kupanda Mlima Kilimanjaro na kushuka kwa saa 8, ameweka rekodi nyingine ya kutumia saa 65 kutoka Tanga ambako ni ni mita sifuri kutoka usawa...
Kura zarudiwa tena uchaguzi KKKT Uchaguzi wa nafasi ya Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania(KKKT), unarudiwa kwa awamu wa pili baada ya wagombea wawili wa nafasi kura zao kutokufika theluthi mbili kama kanuni za...
VIDEO: Mbwa afichua yalipo mabaki mwili wa mwalimu Mabaki ya mwili wa mwalimu Lightness Peter (29) mkazi wa Bomambuzi, Wilaya ya Moshi, mkoani Kilimanjaro yamekutwa katika mashamba ya Miwa ya TPC.
‘Uzito uliopitiliza chanzo shinikizo la damu, kisukari K’njaro’ Uzito uliopitiliza umetajwa kuwa moja ya changamoto zinazowakabili watu wazima na watoto, katika Manispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro, hali ambayo inadaiwa kusababisha kasi ya magonjwa...
‘Wenye shinikizo la damu hatarini kupata ugonjwa wa moyo’ Wagonjwa wa shinikizo la juu la damu, wametajwa kuwa hatarini zaidi kupata magonjwa ya moyo, kutokana na ugonjwa huo kudaiwa kusababisha moyo kutanuka.
Bajaji, bodaboda Moshi wasamehewa ushuru wa stika Halmashauri ya Manispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro, imefuta ushuru wa stika ya maegesho wa Sh20,000 kwa mwaka, ambao ulikuwa ikitozwa kwa wamiliki wa pikipiki za magurudumu matatu na mawili...
Malecela awataka Watanzania kuepuka kugawanywa kidini Waziri Mkuu Mstaafu, John Malecela amewataka Watanzania kuepuka kugawanywa kwa misingi ya kidini, huku akitoa wito kwa viongozi wa kiroho, kuikosoa Serikali kwani viongozi wake ni binadamu.
Madaktari bingwa wa JKCI kuweka kambi Kilimanjaro Madaktari Bingwa wa Moyo, kutoka Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) wanatarajiwa kuweka kambi ya siku tano katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Kilimanjaro Mawenzi, kwa ajili ya kutoa...
Hatimaye Neech azikwa Mwanga Aliyekuwa mkurugenzi wa maafa katika Benki ya ABSA, Neech Msuya umezikwa leo nyumbani kwao katika Kijiji cha Msangeni, Kata ya Msangeni Ugweno, Wilaya ya Mwanga mkoani Kilimanjaro.
Mamia ya waombolezaji wajitokeza kumuaga Neech, kuzikwa leo Mamia ya waombolezaji wamejitokeza nyumbani kwa Mzee Hashim Msuya, kwa ajili ya mazishi ya mwanae, Neech Msuya aliyefariki dunia Agosti 2, mwaka huu katika ajali ya gari iliyotokea Chalinze...