Search

664 results for Florah Temba :

  1. Majaliwa ashtushwa na aina mpya ya bangi, watumiaji hubadilika na kuwa 'vichaa'

    Majaliwa amesema hayo leo Aprili 2, 2024, wakati wa uzinduzi wa mbio za Mwenge wa Uhuru zilizofanyika katika Viwanja vya Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi(MoCU), mkoani Kilimanjaro

  2. Majaliwa aonya rushwa uchaguzi wa Serikali za mitaa

    Majaliwa amesema hayo leo Aprili 2 2024 wakati wa uzinduzi wa mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa uliofanyika katika Viwanja vya chuo Kikuu cha Ushirika(MoCU), Manispaa ya Moshi, mkoani Kilimanjaro,...

  3. Mateso ya saa 8 bila umeme, Tanesco yatoa tamko

    Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) limeeleza kuwa imetokea hitilafu kwenye mfumo wa njia ya kusafirishia umeme ya gridi ya Taifa.

  4. Askofu Shoo akemea dhuluma, ataka masilahi ya walimu, madaktari kuangaliwa upya

    “Sijasikia sana wabunge wetu wakitetea mambo ya walimu, kwamba walimu jamani waongezewe mishahara na nini, hawa wanatoa mchango mkubwa kwa ujenzi wa Taifa letu, wanawaangalia watoto wetu ndugu...

  5. Mwanafunzi kidato cha sita amjeruhi mwalimu kwa chepe kichwani

    Tukio hilo lilitokea usiku wa Machi 25, 2024 wakati mwalimu huyo aliyetambulika kwa jina moja la Matendo, alipokuwa akizunguka kukagua wanafunzi waliokuwa wanajisomea usiku.

  6. Ulevi wakithiri Moshi, vijana wadaiwa kushindwa kuoa

    Paroko wa Kanisa Katoliki Parokia ya Kibosho, Padri Beatus Vumilia imefika mahali jamii imeshindwa kujitawala na kutawaliwa na pombe

  7. Dk Mpango ashangaa ujenzi hospitali kusimamiwa na mhandisi wa kilimo

    “Leo ndiyo nimesikia kwa mara ya kwanza mhandisi kilimo ndiye anasimamia majengo, hapana. Kauli ya Makamu wa Rais aliyoitoa kwa mshangao leo.

  8. Dk Mpango akerwa ujenzi Hospitali ya Mwanga, atoa maagizo kwa Tamisemi

    Makamu wa Rais amesema hayo, leo Alhamisi Machi 21, 2024 wakati akizungumza na wananchi wa Mwanga, katika stendi ya mabasi wilayani humo, baada ya kutoka kutembelea na kukagua ujenzi wa hospitali...

  9. Maji yaweka rehani kibarua cha makamu wa Rais

    Watendaji wa Wizara ya Maji wametakiwa kutimiza wajibu wao ikiwamo kuwasimamia makandarasi na wataalamu wanaotekeleza mradi wa maji wa Same – Mwanga - Korogwe

  10. Hatimaye mwili wa mwanafunzi Moshi wazikwa

    Ni mwanafunzi anayedaiwa kufariki dunia kutokana na kipigoa cha mwalimu

    New Content Item (1)
Previous

Page 2 of 67

Next