Miili ya wanakwaya sita Same yaagwa, kuzikwa kesho Chome Miili sita ya wanakwaya wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Usharika wa Mmeni Chome, Dayosisi ya Pare waliofariki kwa ajali ya gari wilayani Same mkoani Kilimanjaro imeagwa leo...
PRIME Mvua zazua kizaazaa Mvua zinazoendelea kunyesha maeneo mbalimbali nchini zimeanza kuleta athari, huku wananchi wanaoishi maeneo hatarishi wakiaswa kuhama.
Majaliwa ataka jamii za kifugaji kutotumikisha watoto Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa amezitaka jamii za kifugaji kuhakikisha zinawapeleka watoto shule na kuacha tabia ya kuwatumikisha kuchunga mifugo.
Mchungaji Mono: Nilivyoona taarifa ya uteuzi wangu mtandaoni nilitokwa na machozi Amesema halikuwa jambo rahisi alipopata taarifa hizo akiwa Burundi katika mjini Bujumbura.
PRIME Ngoma nzito jimboni kwa Dk Mollel, ashangaa kulimwa barua CCM Mbunge wa Siha (CCM) ambaye pia ni Naibu Waziri wa Afya, Dk Godwin Mollel amedai kuandikiwa barua na kamati ya nidhamu ya CCM Wilaya ya Siha kwa kosa alilodai kuwa ni kuwafukuza wezi waliojaribu...
Askofu Shoo ataka mambo mawili uchaguzi mkuu Mkuu wa Dayosisi ya Kaskazini ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dk Fredrick Shoo ameitaka Serikali kusimamia haki katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu na kuhakikisha kunakuwepo na...
Mrithi wa Askofu Sendoro kuingizwa kazini Julai 13 Mchungaji Daniel Mono ambaye alichaguliwa kuwa Askofu mteule wa Dayosisi ya Mwanga ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) kumrithi hayati Askofu Chediel Sendoro, anatarajiwa kuingizwa...
Mchungaji Mono amrithi Sendoro Dayosisi ya Mwanga Msaidizi wa askofu wa Dayosisi ya Kusini Mashariki ya Ziwa Victoria (DKMZV), Mchungaji Daniel Mono amechaguliwa kuwa mkuu mteule wa Dayosisi ya Mwanga ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania...
Mrithi wa Askofu Sendoro kujulikana leo Mkutano Mkuu maalumu wa kumpata Mkuu wa Dayosisi ya Mwanga ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) umeanza, huku macho na masikio ya waumini yakisubiri kuona na kusikia ni nani...
Rais Samia azindua mradi wa maji uliokwama miaka 20 Rais Samia Suluhu Hassan ameeleza magumu yaliyopitiwa wakati wa utekelezaji wa mradi wa maji wa Same-Mwanga-Korogwe, akisema kuna wakati ililazimika kusukumana, kusutana na hata kushitakiana na...