Search

27 results for Gadi Solomon :

  1. Polisi yatangazia vita ‘panyarodi’

    Siku moja baada ya Bunge kutoa maelekezo kwa Serikali juu ya kuvikabili vikundi vya kihalifu vilivyoibuka baadhi maeneo ikiwemo jiji la Dar es Salaam, Waziri wa Mambo ya Ndani, Hamad Yusuf...

  2. Bakita yawapa mbinu Watanzania kunogesha Kiswahili

    Baraza la Kiswahili la Taifa (Bakita) limewataka Watanzania kuongeza umahiri katika kutumia Kiswahili ili wajitofautishe na watu wanaojifunza lugha hiyo kwa kutumia vinogesho katika mazungumzo...

  3. Bakita yawataka wakalimani kutumia Tehama kujitangaza

    Baraza la Kiswahili la Taifa (Bakita) limewataka wataalamu wa fani za Kiswahili nchini kutumia vyema Teknolojia ya Habarai na Mawasiliano kujitangaza taaluma zao na kuacha kuweka vitu visivyo na...

  4. Bakita yagawa vitabu ubalozi wa Russia

    Lugha ya Kiswahili kwa sasa inafundishwa katika vyuo vikuu viwili nchini Russia ambavyo ni Moscow State University na Moscow State University of International Relations, huku walimu wanaofundisha...

  5. Baraza la Kiswahili laita wakalimani wa Kireno, Kispaniola

    Bakita inatekeleza Mpango Mkakati wa Taifa wa Ubidhaishaji wa Kiswahili uliozinduliwa na Makamu wa Rais, Dk Philip Mpango wakati wa maadhimisho ya Siku ya Kiswahili Duniani, Julai 7 ukilenga...

  6. Serikali yaanza utekeleza maagizo saba ya Makamu wa Rais

    Serikali imeagiza kuanza utekelezaji wa maagizo saba yaliyotolewa na Makamu wa Rais siku ya Maadhimisho ya Kiswahili Duniani yaliyofanyika Julai 7 mwaka huu.

  7. Mshindi wa kutafsiri Kiswahili kuzawadiwa Sh230 milioni

    Lugha ya Kiswahili imeteuliwa kutumika kutafsiri matini katika Tuzo za Hamad, zinazofanyika Doha nchini Qatar kwa mwaka 2022 ambazo mshindi atazawadiwa Dola 100,000 ambazo ni sawa na Sh230 milioni.

  8. Serikali yajivunia matunda kukitangaza Kiswahili duniani

    Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (Unesco) limetangaza tarehe 7 Julai kila mwaka kuwa Siku ya Kiswahili Duniani

  9. Wakalimani lugha ya alama wasajiliwa kanzidata Bakita

    Chama cha Wakalimani Alama Tanzania (Chawalata) kimeishukuru Serikali kwa kuweka mkakati wa kuwatambua na kuwaingiza kwenye kanzidata.

  10. Waziri Bashungwa azindua vifaa vya ukalimani

    Amesema vifaa hivyo vitatumiwa na vyuo vikuu vinavyofundisha kozi ya ukalimani kwa ajili ya mafunzo kwa vitendo kwa wanafunzi.

Previous

Page 2 of 3

Next