Search

591 results for Hadija Jumanne :

  1. Bosi UDA kuendelea kusota rumande

    Upelelezi katika kesi ya uhujumu uchumi, inayomkabili aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Usafiri Dar es Salaam (UDA), Simon Bulenganija, haujakamilika.

  2. Serikali yasubiri ripoti kukamilisha upelelezi kesi ya Muharami

    Serikali inasubiri ripoti mbili kutoka katika kampuni mbili za simu ili kukamilisha upelelezi katika kesi ya kusafirisha dawa za kulevya aina ya heroine kilo 34.89 inayomkabili aliyekuwa kocha wa...

  3. Bangi, heroine zawaponza maofisa Posta

    Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imewakuta na kesi ya kujibu, maofisa watatu wa ulinzi wa Shirika la Posta Tanzania, wanaokabiliwa na kesi ya kusafirisha dawa za kulevya aina ya heroine na bangi.

  4. Wadaiwa kuingilia mifumo ya benki, kujipatia Sh1.6 bilioni

    Raia wa Ghana, Valentine Zancheus (42) na Mtanzania, Fortunatus Bundala (36) wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakikabiliwa na mashtaka matatu likiwemo la kuingilia mifumo ya...

  5. PRIME Ifahamu shule aliyosoma Rais Samia

    Mmoja wa wanafunzi waliopitia hapo ni Rais Samia Suluhu Hassan, ambaye siku chache zijazo anatarajiwa kufika shuleni hapo kwa ajili ya kufungua majengo mapya yaliyofanyiwa ukarabati.

  6. Mkazi wa Tabata, kortini kwa kusafirisha heroine gramu 900 

    Mkazi wa Tabata, Gerald Mwangoka (24) amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Jijini Dar es Salaam akikabiliwa na shtaka moja la kusafirisha dawa za kulevya aina ya Heroine zenye...

  7. Hukumu faini ya Sh200,000 kwa raia wa kigeni mjadala

    Hukumu ya raia wa China, Wei Zhang (54) kutakiwa kulipa faini ya Sh200,000 baada ya kupatikana na hatia ya kukutwa na kilo nne za majongoo bahari yaliyo hatarini kutoweka, imezusha mjadala...

  8. Wawili kortini wakidaiwa kuuza kiwanja 'hewa'

    Wafanyabiashara wawili, Abdallah Mashaka na Felix Amani, wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakikabiliwa na mashtaka mawili likiwemo la kujipatia Sh20 milioni kwa njia ya...

  9. Raia wa Congo kortini kwa kuishi nchini kinyemela

    Mashahidi nane na vielelezo vinne vinatarajiwa kutolewa mahakamani katika kesi ya kutoa taarifa za uongo na kisha kujipatia kibali cha kuishi Tanzania, inayomkabili raia wa Congo DRC, Mathieu...

  10. Aliyekutwa na jongoo bahari ahukumiwa faini ya Sh200,000

    Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imemhukumu raia wa China, Wei Zhang (54) kulipa faini ya Sh 200, 000 ua kwenda jela mwaka mmoja baada ya kupatikana na hatia ya kukutwa na jongoo bahari (Sea...

Previous

Page 2 of 60

Next