Search

730 results for Hadija Jumanne :

  1. Wanaodaiwa kusafirisha kilo 51 za heroine, kusomewa maelezo yao kesho

    Washtakiwa hao ni Ernest Semagoya, mkazi wa Mbezi Beach, Salim Jongo, Amin Sekibo na Tatu Nassoro

  2. Mwanamuziki wa Nigeria kortini kwa kuishi Tanzania kinyemela

    Dar es Salaam. Raia wa Nigeria, Daniel Imah (29) amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam akikabiliwa na shtaka la kuwepo nchini Tanzania kinyume cha sheria.  Mshtakiwa...

  3. Aliyefungwa miaka 30 kwa kukiri shtaka la bangi ashinda rufaa

    Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam iliyoketi katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imemwachia huru Adam Abdallah, aliyekuwa amehukumiwa adhabu ya kifungo cha miaka 30, jela baada ya kupatikana...

  4. DPP awafutia kesi waliodaiwa kujipatia Sh23 bilioni za ujenzi wa mradi wa maji

    Giafar Beder na wenzake walikuwa wanadaiwa kughushi nyaraka ya kutolea fedha na kuiwasilisha kwa Katibu Mkuu Wizara ya Maji na Umwagiliaji na kujipatia fedha

  5. Upelelezi kesi inayowakabili waliokuwa polisi wakamilika

    Washtakiwa katika kesi hiyo waliokuwa askari kanzu watatu mwenye namba F 7149 D/Coplo Ramadhani Tarimo (42) maarufu kama Rasta na mkazi wa Kipawa; G 7513 D/Coplo Majid Abdallah(35) na mkazi wa...

  6. Kula vyakula hivi wakati wa mfungo kudhibiti unene

    Kufunga saumu ni moja ya nguzo tano za Uislamu. Muislamu yeyote mwenye afya njema, akili timamu anatakiwa kushiriki katika saumu kwa kujizuia kula chakula chochote katika kinywa chake, kwa muda...

  7. Shahidi adai Mukama hakutambuliwa na mfumo wa TLS kama wakili

    Amedai alichukua hatua ya kuingia kwenye mfumo wa Mawakili wa Tanganyika kisha aliandika jina kamili na namba ya uwakili ambayo alitaja likatokea jina la Nyando Nashon na si Mukama.

  8. Kesi ya wanaodaiwa kuvujisha mitihani kusikilizwa siku nne mfululizo

    Washtakiwa wanadaiwa kuvujisha mtihani wa darasa la saba wa mwaka 2022

  9. Askofu: Wazazi msiwafiche watoto wenye changamoto za ukuaji

    Dar es Salaam. Wazazi wenye watoto wenye changamoto ya ukuaji wa kiakili na kimwili wametakiwa kutowaficha ndani watoto hao na badala yake kuwapeleka shule, ili wapate elimu au katika vituo vya...

  10. PRIME Maajabu ya tende, faida zake kufungulia Swaum

    Tende imepata umaarufu mkubwa duniani kwa sababu ni tunda ambalo limekuwa likitumika sana katika kipindi cha mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, kama chakula cha kwanza wakati wa kufuturu.

Previous

Page 2 of 73

Next