Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

1132 results for Hadija Jumanne :

  1. Mahakama Kuu kutoa uamuzi maombi ya Lissu Julai 11, 2025

    Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam imepanga kutoa uamuzi wa maombi ya Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu, Julai 11, 2025.

  2. Ulinzi waimarishwa huku kesi ya Lissu ikiendelea Mahakama Kuu

    Wakati kesi ya maombi ya mapitio iliyowasilishwa na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu ikiendelea katika Mahakama Kuu, Masjala Ndogo ya Dar es Salam, ulinzi...

  3. Usichokijua kuhusu ulaji wa maharage na faida zake mwilini

    Licha ya maharage kuwa ni miongoni mwa mboga zenye faida kubwa mwilini na hivyo kuwa muhimu kwa watu wenye matatizo mbalimbali ya kiafya, wataalamu wanasema maharage lishe, ndio maharage mazuri...

  4. Kilichojili kesi ya kanisa kumnyang’anya zawadi mtoto wa Askofu Sepeku

    Mahakama Kuu, Divisheni ya Ardhi, imepanga Julai 18, 2025 kuendelea na usikilizwa katika kesi ya ardhi iliyofunguliwa na mtoto wa Askofu John Sepeku, Bernardo Sepeku dhidi ya Bodi ya Wadhamini wa...

  5. Kesi ya kanisa kumnyang'anya zawadi mtoto wa Askofu Sepeku kuunguruma leo

    Katika kesi hiyo ya ardhi namba 378/2023, Bernado ambaye ni msimamizi wa mirathi ya baba yao anapinga kunyang’anywa zawadi ya kiwanja alichopewa baba yao.

  6. Aliyekutwa na vipande saba vya kiboko, ahukumiwa kifungo cha nje

    Mshtakiwa huyo na wenzake wanadaiwa kukutwa na nyara hizo za Serikali bila kuwa na kibali kutoka kwa mkurugenzi wa wanyamapori nchini, jambo ambalo ni kosa kisheria.

  7. Jalada kesi ya anayedaiwa kujifanya Polisi, kwenda Uturuki kununua silaha lipo kwa DPP

    Hayo yameelezwa na Wakili wa Serikali, Frank Rimoy mbele ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu leo Jumatatu, Juni 23, 2025 wakati kesi hiyo ilipokuja kwa ajili ya mshtakiwa kusomewa hoja za awali...

  8. Kesi ya wanafunzi kumshambulia mwenzao yapigwa kalenda, wazua mshangao kortini

    Serikali imeieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwa upelelezi katika kesi ya jinai inayowakabili wanafunzi watatu wa vyuo vikuu, likiwemo la kusababisha madhara ya kimwili, bado unaendelea.

  9. TLS, mawakili wa Serikali wasaini ushirikiano masuala ya kisheria

    Wakili Mkuu wa Serikali, Dk Ally Possi amesema Serikali itashirikiana na vyama viwili vya mawakili katika masuala ya kisheria, utatuzi wa migororo, kupeana uzoefu, ujuzi na mafunzo kwa lengo la...

  10. PRIME Samia amteua Masaju Jaji Mkuu, wadau wataja yanayomsubiri

    Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Jaji wa Mahakama ya Rufani, George Masaju kuwa Jaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania huku wadau wa masuala ya sheria wakizungumzia umahiri wake na mambo yanayomsubiri

Previous

Page 2 of 114

Next