Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

1154 results for Jesse Mikofu :

  1. Huyu ndiye amechukua nafasi ya Arafat Haji PBZ

    Mkurugenzi huyo mpya anachukua nafasi ya Arafat Haji aliyekuwa akishikilia nafasi hiyo kwa takriban mwaka mmoja tangu ateuliwe kushika nafasi hiyo Mei 10, 2024.

  2. ACT wapinga kauli ya RC kuzuia kubandikwa mabango ya karatasi

    Chama cha ACT Wazalendo kwa mara nyingine, kimesema kauli ya Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi, Idrissa Mustapha Kitwana kupiga marufuku ubandikaji wa mabango ya makaratasi badala yake watumie...

  3. 'Tusisubiri kuhesabu matukio ya maafa, tuchukue hatua kabla'

    Mkurugenzi Mtendaji wa Kamisheni ya Kukabiliana na Maafa Zanzibar, Makame Khatib Makame amewataka wadau wa kupambana na maafa kuongeza juhudi za kutoa elimu ya tahadhari kwa jamii ili kupunguza...

  4. Wananchi Kusini Unguja waeleza matamu, machungu RC akiwapa matumaini

    Wananchi wa Mkoa wa Kusini Unguja, licha ya kupongeza hatua mbalimbali za maendeleo wanazozishuhudia, wamemweleza Mkuu wa Mkoa huo, Ayoub Mohamed Mahmoud, kuhusu changamoto zinazowakabili, huku...

  5. ACT Wazalendo waanza mchakato kura za maoni

    Chama cha ACT Wazalendo kimeanza mchakato wa upigaji wa kura za maoni ili kuwapata wagombea wa nafasi ya ubunge, uwakilishi na udiwani utakaofanyika Oktoba 2025.

  6. Wananchi watakiwa kufichua mapapa wa 'unga'

    Wananchi wa Zanzibar wametakiwa kuachana na muhali na kushirikiana kwa dhati na vyombo vya dola kuwafichua watu wakubwa wanaoingiza dawa za kulevya.

  7. Afrika yatakiwa kuungana kudhibiti ubora, kuongeza ushindani wa biashara

    Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi amesema Serikali za Afrika zina kila sababu ya kuunga mkono viwanda vidogovidogo na vya kati, ili kuweka mazingira mazuri kwa lengo la kuviboresha na kuleta...

  8. ZDCEA yabaini matumizi mbadala wa dawa za kulevya

    Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya Zanzibar (ZDCEA) imesema baada ya kusambaratisha mitandao ya uhalifu na kuziba mianya ya uingizaji wa dawa hizo nchini, kumeibuka biashara...

  9. Zanzibar kuwakutanisha wataalamu wa mafuta na gesi Afrika

    Wakati Zanzibar ikiendeleza jitihada za kuboresha sekta ya gesi na petroli, unatarajiwa kufanyika mkutano mkubwa utakaowakutanisha wataalamu wa sekta hiyo kutoka ndani na nje ya Afrika.

  10. Rais Mwinyi aanika mafanikio miaka mitano ya SMZ, baraza kuvunjwa Agosti 13

    Wakati akimalizia hotuba yake aliyoisoma kwa takribani saa moja, Dk Mwinyi amesema, “ili kutoa nafasi ya matayarisho kwa ajili ya uchaguzi mkuu wa Oktoba, kwa madaraka niliyonayo kwa mujibu wa...

Previous

Page 2 of 116

Next