Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

177 results for Joyce Joliga :

  1. Mume na mke mbaroni wakituhumiwa kuiba mtoto

    Jeshi la Polisi mkoani Ruvuma linawashikilia wenza wakazi wa Mjimwema kwa fupi Manispaa ya Songea, kwa tuhuma za kuiba mtoto mwenye umri wa miezi 11.

  2. Mikoa minne kuanza uboreshaji daftari la mpigakura

    Baada ya kuanza katika Mikoa mbalimbali ikiwemo Kigoma, hatimaye uboreshaji wa daftari la kudumu la mpigakura umefika wilayani Songea mkoani Ruvuma, huku wananchi wakionywa kuhusu kujiandikisha...

  3. Polisi wamsaka dereva wa Super Feo anayedaiwa kusababisha ajali

    Jeshi la Polisi Mkoa wa Ruvuma linamsaka dereva wa kampuni ya mabasi ya Superfeo, Zacharia Mbunda, kwa tuhuma za kusababisha ajali iliyotokea leo alfajiri na kujeruhi abiria wanne.

  4. Wanandoa wafa, ajali iliyoua walimu wanne Nyasa

    Ajali ilitokea baada ya gari walilokuwa wakisafiria kuanguka katika mteremko wa Chunya wilayani Mbinga mkoani Ruvuma.

  5. Ujenzi nyumba za wahudumu wa afya Peramiho waboresha huduma

    Amewataka watumishi wa Serikali, kusimamia vema miradi na fedha zinazotolewa kufanikisha malengo yaliyokusudiwa.

  6. Wananchi walia kukamilika kwa stendi mpya ya mabasi Songea

    Ujenzi huo utakapokamilika utaondoa changamoto ya usafiri kwa wananchi pamoja na kuimarisha usafirishaji.

  7. NEMC yaionya migodi ya makaa ya mawe inayotiririsha maji yenye sumu

    Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limewaonya wamiliki wa migodi ya makaa ya mawe mkoani Ruvuma wanaokiuka sheria na utaratibu wa uhifadhi wa mazingira.

  8. Wito wa amani, uwajibikaji na usafi vyatawala maadhimisho ya uhuru mikoani

    Sherehe za maadhimisho ya uhuru zimefanyika kwa njia tofauti katika mikoa mbalimbali nchini ambapo wananchi na viongozi wameshiriki kufanya usafi huku wito wa amani ukitolewa kwa Watanzania wote.

  9. Viongozi Manispaa ya Songea wabebeshwa zigo la taka

    Viongozi wa Halmashauri ya Manispaa ya Songea, mkoani Ruvuma, wameelekezwa kuhakikisha wanatoa kipaumbele kwa kuondoa uchafu unaotoa harufu mbaya kwenye mitaro ya mabucha ndani ya soko kuu kwa...

  10. THPS yatoa upimaji VVU kwa wafungwa 89,602 gerezani

    Shirika la Tanzania Health Promotion Support (THPS) limetoa huduma za upimaji wa Virusi vya Ukimwi (VVU) kwa watu 89,602 waliopo gerezani huku 2,030 wakigundulika na maambukizi katika kipindi cha...

Previous

Page 2 of 18

Next