Wakamatwa kwa tuhuma za kuwinda twiga Eneo la Jumuiya ya Hifadhi ya Wanyamapori ya Burunge (Burunge WMA) lipo katikati ya hifadhi ya Taifa ya Tarangire na Manyara na lina eneo kubwa la mapito ya wanyamapori (shoroba) na sasa kuna...
DC Bagamoyo amaliza mgogoro ardhi wa miaka 10 Amesema ingawa Serikali ina wajibu wa kutoa huduma kwa wananchi wote, lakini kuna umuhimu wa kutambua utambulisho wao kupitia viongozi wa vijiji wanakotoka.
PRIME Wametekwa au wamepotea? Kufuatia matukio ya watu kutoweka na wengine kutekwa nchini, baadhi ya wadau wameitaka Serikali kuwajibika.
Kamishna azuia utoaji hati eneo lenye mgogoro Arusha Kamishna wa Ardhi Mkoa wa Arusha, amezuia kutolewa hati za umiliki wa ardhi katika eneo la ekari sita, lililopo Kata ya Olmoti jijini Arusha kutokana na kuwapo mgogoro kwa miaka 17 sasa.
ACT Wazalendo yaanza mchakato kumpata mrithi wa Zitto Mpaka sasa viongozi kadhaa wanatajwa kutaka kurithi nafasi hiyo, baadhi yao ni pamoja na Makamu Mwenyekiti wa ACT Wazalendo – Tanzania Bara, Dorothy Semu, Makamu Mwenyekiti – Zanzibar, Othman...
Jinsi fundi simu alivyotekwa Kariakoo Zimepita siku 56 tangu Innocent Elias Liveti (34) maarufu Macheni, alipotekwa na watu wawili waliokuwa na gari ambalo hadi sasa halijatambuliwa karibu na duka lake la simu Kariakoo, jijini Dar es...
Burunge WMA yapewa gari kudhibiti ujangili, migogoro “Gari hili ni sehemu ya makubaliano yetu na watatua gari jingine na tunatarajia pia wataendelea kushirikiana na WMA katika kulinda hifadhi hiyo ili kuendeleza Utalii,” amesema Mwenyekiti wa Bodi...
Mchakato uboreshaji kanuni biashara ya Tanzanite waendelea Julai 7, 2021 Waziri Mkuu Kassim Majaliwa alitoa maelekezo ya Serikali kupiga marufuku biashara ya madini ghafi ya Tanzanite kufanyika nje ya Mirerani
Bei ya sukari yafunga kiwanda Arusha Serikali imetoa kibali kwa wenye viwanda kuagiza sukari tani 100,000 itakayowasili nchini kati ya Januari 23 – 24, mwaka huu.
Askofu Malasusa aingizwa kazini, apewa zigo la changamoto Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) limemsimika na kumuingiza kazini, Dk Alex Malasusa kuwa mkuu wa kanisa hilo, huku akitakiwa kuhakikisha analiongoza kanisa hilo kwa haki na...