Search

1052 results for Mussa Juma :

  1. PRIME RC mstaafu adai fidia Sh200 milioni

    Mkuu wa mkoa mstaafu wa Morogoro, Erasto Sanare amemfikisha mahakamani Mwenyekiti wa Halmashauri ya Monduli, Isaac Joseph (Kadogoo), akimtuhumu kumkashifu na kumtolea matusi huku akitaka alipwe...

  2. Shahidi akosekana mahakamani kesi ya kukutwa na nyara za Serikali

    Kesi inayowakabili raia wa Guinea, Ally Angozuu na wenzake 11 wanaodaiwa kukamatwa na vipande 660 vya meno ya tembo imeshindwa kusikilizwa kwa sababu shahidi aliyekuwa akitegemewa kutoa ushahidi...

  3. Rais Samia kuzindua jengo Papu Arusha, kivutio kipya

    Rais Samia Suluhu Hassan kesho anatarajiwa kuzindua jengo la kitega uchumi na Makao makuu ya Umoja wa Posta Afrika (Papu) ambalo ni moja ya vivutio katika Jiji la Arusha kwa sasa.

  4. Maofisa BOT watua Namanga kudhibiti uuzaji holela dola

    Kutokana na uwepo wa changamoto ya upatikanaji wa fedha za kigeni, baadhi ya maofisa wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT) wamewataka wafanyabiashara katika mpaka wa Namanga kuwa na Leseni za maduka ya...

  5. Serikali kutoa huduma ya intaneti majumbani

    Serikali imeanza kusambaza huduma za intaneti kwa bei nafuu zaidi katika makazi ya watu ili kurahisha utendaji wa kazi ambazo zinahitaji huduma hiyo.

  6. Waliokamtwa Ngorongoro waachiwa kwa dhamana

    Jeshi la Polisi mkoa Arusha, limewaachia kwa dhamana watuhumiwa 32 baada ya juzi kumuachia Mbunge wa jimbo wa Ngorongoro, Emmanuel Ole Shangai, ambao kwa pamoja walikuwa wanashikiliwa kwa tuhuma...

  7. Mbunge Ole Shangai aachiwa kwa dhamana

    Mbunge wa Ngorongoro, Emmanuel Ole Shangai ambaye alikuwa anashikiliwa na Polisi mkoani Arusha ameachiwa kwa dhamana usiku wa leo Jumatano Agosti 23, 2023.

  8. Polisi waeleza kumshikilia Mbunge wa Ngorongoro

    Jeshi la Polisi Mkoa Arusha, limeeleza kumshikilia Mbunge wa Ngorongoro, Emmanuel Lekishoni Shangay na watu wengine kadhaa kutokana na tuhuma za kuwashambulia waandishi wa habari.

  9. Sakata la Mbunge wa Ngorongoro latinga Mahakamani

    Mawakili wa Mbunge wa Jimbo la Ngorongoro, Emmanuel Ole Shangai ambaye anadaiwa kushikiliwa na polisi tangu juzi, wamefungua kesi Mahakama Kuu Kanda ya Arusha, wakitaka afikishwe Mahakamani...

  10. PRIME Kizimbani akidaiwa kuvunja, kuiba simu kituo cha Polisi

    Mbeba mizigo ‘kibega’ katika soko la Mbuyuni mjini Moshi, Jackson Mussa (20), amepandishwa kizimbani akituhumiwa kuvunja kituo cha kati cha Polisi Moshi na kuiba vielelezo mbalimbali.

Previous

Page 2 of 106

Next