Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

1249 results for Mussa Juma :

  1. Serikali yazitaja hospitali zinazotoa tiba asilia

    Hospitali hizo zimeongezeka kutoka saba ambazo Serikali, mwaka 2023, ilizitangaza kuanza kutoa huduma hiyo, sasa zimefika 14.

  2. PRIME Mawaziri watatu kubanwa

    Mawaziri watatu wataingia katika mjadala wa wabunge kuhusu bajeti za wizara zao kwa mwaka 2025/26 huku hoja kubwa zikitarajiwa kujitokeza zikiwa ni madeni ya makandarasi kwenye miradi ya barabara...

  3. Hiki ndio kitakachomaliza urasimu, migogoro ya ardhi Zanzibar

    Awali kazi hiyo ilikuwa ikifanywa na Bodi ya uhaulishaji na kamisheni ya ardhi tena kwa sheria mbili tofauti.

  4. PRIME MZEE WA FACT: Harufu ya 1992 kwenye dabi ya 2025

    Hali hii imeturudisha hadi mwaka 1992 kwenye mkasa wa mechi kama hii.

  5. Jowuta: Waandishi msibebe vyama, tendeni haki uchaguzi mkuu

    Juma amesema viongozi wa vyama vya kisiasa wanapaswa kuwaacha wanahabari kufanya kazi kwa uhuru na kuacha kuwapiga ama kuwazomea kwenye misafara.

  6. Rose Mhando alivyoweka alama kwenye kipaji cha Charugamba

    Katika upeo wa muziki wa injili nchini, jina la Rose Mhando limeendelea kuwa alama ya ujasiri, kipaji na wito wa kipekee kwa miaka mingi. Sauti yake yenye mvuto na ujumbe wa kiroho umegeuka kuwa...

  7. Chadema yalaani utekaji, kuratibu maandamano ya amani, CCM waalikwa

    Katibu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kanda ya Serengeti, Jackson Mnyawami amelaani vitendo vya utekaji wa viongozi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Chadema katika Kanda ya Serengeti.

  8. PRIME Mvua zazua kizaazaa

    Mvua zinazoendelea kunyesha maeneo mbalimbali nchini zimeanza kuleta athari, huku wananchi wanaoishi maeneo hatarishi wakiaswa kuhama.

  9. PRIME MZEE WA FACT: Soka letu lina mengi yakushtua

    Wallace Karia ambaye kwa sasa anamalizia muhula wake wa pili na ameshatangaza nia ya kugombea muhula wa tatu, anaelekea kupita njia ya Tenga kama kiongozi aliyetuliza hali na kujenga mahusiano...

  10. PRIME Mtihani mpya kwa Mzize, Fei Toto

    Ujio wa nyota hao wa kigeni unawafanya wazawa kuwa na kazi ya ziada ya kufanya kuhakikisha wanaiwakilisha nchi vizuri, lakini kwa misimu mitatu iliyopita mambo yalikuwa magumu.

Previous

Page 2 of 125

Next