TMA yatoa angalizo mvua za masika TMA Mvua hizo zinatarajiwa kuanza wiki ya nne ya Februari katika maeneo mengi nchini
PRIME Makali ya maisha, maumivu kila mahali Mambo hayo yamekuwa yakiwapunguzia ufanisi katika shughuli za maendeleo wanazozifanya.
Ukonga walia ubovu wa barabara, Tarura yaahidi neema Amesema barabara zenye uhitaji mkubwa kwenye jamii wamezipa kipaumbele na wanatarajia kuziboresha kwa kiwango cha lami kupitia Mradi wa Uendelezaji wa Mkoa wa Dar es Salaam (DMDP).
Pikipiki ilivyosababisha wafanyabiashara watatu kuuawa Wananchi wajichukulia sheria mkononi wawaua, ikidaiwa mmoja alinunua pikipiki ya wizi.
CCM yahamasisha wanawake kugombea uchaguzi Serikali za mitaa Katika maadhimisho hayo, Wambura amedai kuwa tangu jana Februari Mosi, wamekusanya zaidi ya wanachama 22,000 waliowapa kadi wilayani Ilala.
Waziri aipa Tanesco siku 30 kuziwekea ulinzi transfoma Amehoji kwa nini shirika hilo limeajiri wataalamu, lakini wanashindwa kuweka kifaa cha ulinzi kwenye transfoma hizo ili kuepusha zisiungue.
PRIME Maandamano Chadema yaweka rekodi, Mbowe atoa msimamo Maandamano hayo yaliyoishia katika ofisi za Umoja wa Mataifa (UN) jijini Dar es Salaam yalianza rasmi majira ya saa 5 asubuhi, lakini makada na wafuasi wa chama hicho walianza kujitokeza katika...
RC Chalamila aeleza sababu vyombo vya dola kutoshiriki usafi Awali, Januari 13, 2024 Chalamila alitangaza kuwa Januari 23 na 24 mwaka huu ni siku ya usafi ambayo vyombo vya dola vingeshiriki.
Mfanyabiashara aongezwa kesi ya uhujumu uchumi Agosti 7, 2023 washtakiwa watatu walifikishwa mahakamani hapo ambao ni Awadhi Mhavile (39), Ally Msesya maarufu kama Ally Yanga (37), mkazi wa Pugu
Usafiri Barabara ya Morogoro hali tete, eneo la Jangwani lafungwa Mvua hizo zilizoanza kunyesha leo Januari 20 2024 saa kumi alfajiri kwa kuambatana na upepo mkali zimesababisha mafuriko katika maeneo mbalimbali jijini.