Search

629 results for Tuzo Mapunda :

  1. Mafuriko yakatisha safari mabasi yaendayo haraka Dar

    Taarifa ya leo Ijumaa Aprili 26, 2024 iliyotolewa na Kitengo cha Mawasiliano na Uhusiano Dart imeeleza mabasi kwa njia za Kimara hadi Kivukoni, Gerezani na Morocco yanaishia Magomeni Mapipa

  2. Wakili wa Jacob 'Boni Yai', Malisa aeleza kinachoendelea polisi

    Meya wa zamani wa Ubungo, Jacob Boniface maarufu Boni Yai na Mwanaharakati Godlisen Malisa walitiwa mbaroni jana Alhamisi, Aprili 25, 2024 walipokwenda kuripoti Kituo cha Kipolisi Mkoa wa...

  3. Polisi yawashikilia Meya wa zamani Jacob, Malisa, kwenda kupekuliwa Dar, Moshi

    Wakili asema Polisi wamedai hatua hiyo ni kinyume na kifungu 16 cha sheria ya mwenendo wa makosa mtandao.

  4. Meya wa zamani Jacob, Malisa waripoti Polisi Oysterbay, watakiwa kwa Muliro

    Jacob na Malisa jana Aprili 24, 2024 walipokea wito wa kuhitajika Kituo cha Oysterbay ikiwa ni utekelezaji wa agizo la Kamanda wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro

  5. Mbunge wa CCM, wadau washauri tatizo la vivuko Kigamboni

    Wananchi wa Kigamboni wameeleza uchache wa vivuko ni sababu ya kushindwa kuvuka kwa wakati hali inayojitokeza nyakati za usiku na asubuh. Wametoa mapendekezo ya nini cha kufanyika kumaliza tatizo...

    New Content Item (2)
  6. Familia ya aliyefariki kwa utata yatoa neno, yashukuru mitandao

    Familia ya Marehemu Robert Mushi yatoa shukrani kwa umma wa Watanzania, kwa kupaza sauti zao kupitia mitandao yao ya kijamii na kufanikisha kuona mwili wa ndugu yao aliyepotea ghafla.

  7. PRIME Utata kupotea, kukutwa mochwari ya polisi mwili wa Robert

    Hata hivyo, jeshi hilo limesema linawasaka Jacob na Malisa kwa tuhuma za kusambaza taarifa za uongo na uzushi kwenye mitandao ya kijamii, zinazolenga kujenga chuki na taharuki kwa wananchi dhidi...

  8. Mganga anayetuhumiwa kumuua mlinzi wake mbaroni

    Jeshi la Polisi limemkamata mganga wa kienyeji Tazani Nonyo kwa tuhuma za mauaji

  9. IGP Wambura asisitiza huduma bora zahanati za Jeshi la Polisi

    IGP Wambura amesema suala la huduma bora kwa mteja linapaswa kuzingatiwa kwani hapo ndipo wanajenga uhusiano mzuri kati yao na raia

  10. PRIME Vita mpya bodaboda wakilia mikataba ya kinyonyaji

    Wamiliki wa pikipiki nao waeleza madereva hao wanavyokosa uaminifu na kukiuka mikataba, Kinana aingilia kati

Previous

Page 2 of 63

Next