Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

886 results for Florah Temba :

  1. Wabunge wataka wamiliki hoteli kuwatumia wataalamu wazawa wa kahawa

    Imesema kufanya hivyo kutalinda taaluma ya kahawa inayozalishwa hapa nchini na kuleta tija katika sekta hiyo ya kahawa.

  2. VIDEO: Anayedaiwa kujitenga na familia yake, akutwa amejinyonga Moshi

    Kamanda Maigwa amesema walipata taarifa za kuwepo kwa mwili wa mwanaume huyo anayedaiwa kujinyonga na walipofika waliukuta mwili huo chini baada ya tawi la mti analodaiwa kutumia kujinyonga...

  3. Hii ndio asili ya neno ndafu kwa Wachaga

    Kwa Wachaga, ndafu ni chakula cha heshima ambacho huandaliwa kwa watu maalumu wa heshima na kwa sababu maalumu na chakula hicho hutoa ishara ya upendo, amani na mshikamano.

  4. Lema alia na makundi ndani ya Chadema Kilimanjaro

    Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Kilimanjaro aliyemaliza muda wake, Michael Kilawila amewataka wanachama kuepuka kuumizana.

  5. Mwili uliokuwa ukigombaniwa na familia mbili wazikwa kwa mara ya pili

    Hatimaye mwili wa Jackson Joseph (29) uliokuwa ukigombaniwa na familia mbili, umezikwa leo Novemba 11, 2024 kwa mara ya pili katika makaburi ya familia yaliyopo Kijiji cha Msitu wa Tembo, Wilaya...

  6. Takukuru yazuia Sh329 milioni kununua jenereta zisizo na ubora

    Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) Mkoa wa Kilimanjaro, imezuia Sh329 milioni zilizopangwa kutumika kununua jenereta mbili kwa ajili ya iliyokuwa Mamlaka ya Uendeshaji na...

  7. Ashira Moshi, kutoka kitovu cha dhambi hadi eneo la wokovu

    Kama umewahi kusikia eneo la dhambi limegeuka la wokovu, basi huwezi kuacha kulitaja eneo la Ashira.

  8. Familia yabainika kuzika mwili usio wa ndugu yao

    Mwili wa Richard Shoo (31) uko wapi? Hilo ni swali ambalo wanafamilia wanajiuliza, baada ya mwili waliokuwa wameuzika awali kubainika kuwa si wa ndugu yao, bali ni wa Jackson Joseph (29).

  9. Kada wa CCM anayedaiwa kumwagiwa tindikali atoa neno

    Makishe ambaye amelazwa Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Kaskazini, KCMC amesema baada ya kupata shambulio hilo, alikimbia kuomba msaada kwa wananchi lakini walikuwa wakimkimbia

  10. Askofu Minde: Wasomi tumieni elimu zenu kufanya kazi kwa uadilifu

    Askofu wa Jimbo Katoliki Moshi, Ludovick Joseph Minde amewataka wasomi nchini kutumia elimu walizozipata kufanya kazi kwa uadilifu na kuepuka vitendo vya wizi na ubadhirifu katika nafasi...

Previous

Page 13 of 89

Next