Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

392 results for Mariam Mbwana :

  1. Afya ya akili inavyostawisha, kudhoofisha unyonyeshaji

    Wataalamu wanasema asilimia 20 ya wanawake wanakumbwa na msongo wa mawazo au sonona kipindi cha ujauzito au baada ya kujifungua.

  2. Umasikini, malezi chanzo cha matukio ya uhamiaji usiofuata taratibu

    Makundi yanayoathirika zaidi na uhamiaji usiofuata taratibu ni wanawake na watoto

  3. Tamu, chungu za teknolojia kwa watoto

    Maendeleo katika Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (Tehama) imeenda kubadilisha nyanja mbalimbali za maisha yetu, ikiwemo uchumi, siasa, jamii na nyinginezo.

  4. Sumaye: Tumuenzi Mandela kwa vitendo

    Wakati dunia ikiadhimisha Siku ya Kimataifa ya Nelson Mandela wanajamii wametakiwa kumuenzi kiongozi huyo kwa vitendo.

  5. PRIME Simulizi ya mateso, Kombo akidai kuzungushwa mikoa 10

    Ndugu wa kada wa Chadema, Kombo Mbwana wamesimulia jinsi ndugu yao alivyokamatwa na watu wasiojulikana Juni 15, 2024 na hatimaye Jeshi la Polisi Mkoa wa Tanga kukiri kumshikilia.

  6. Maombi matatu ya Pinda kwa Rais Samia

    Pinda amesema licha ya jitihada mbalimbali alizofanya akishirikiana na viongozi wa halmashauri hiyo, ulijitokeza mkwamo, hivyo kumuomba Rais Samia kuliangalia suala hilo.

  7. Polisi yakiri kumshikilia Kada Chadema aliyedaiwa kutoweka kwa siku 29

    Siku 29 tangu kada wa Chadema, Kombo Mbwana (29) atoweke, Polisi Mkoa wa Tanga limesema linamshikilia kwa tuhuma za matumizi mabaya ya mtandao. 

  8. Profesa wa China atoa nondo Tanzania kunufaika fursa kidigitali

    Dar es Salaam. Imeelezwa matumizi ya teknolojia ya habari na mawasilino katika shule za msingi, sekondari na vyuo vikuu mkazo yanataleta mapinduzi katika utoaji wa elimu nchini. Hayo yameelezwa...

  9. Njia za kupata ngozi mwororo ‘glow’ kiafya

    Wakati baadhi ya watu wakihangaika kuwa na ngozi nzuri zenye kuvutia kupitia vipodozi mbalimbali, wataalamu wa afya wametoa dondoo kadhaa za kufuata ili kuwa na ngozi mwororo, wanawake huita...

  10. Bakita, wadau wakitangaza Kiswahili mtaa kwa mtaa Dar

    Dar es Salaam. Kuelekea maadhimisho ya lugha ya Kiswahili Duniani Julai 7, Wanafunzi wa shule mbalimbali za msingi na sekondari, walimu, wananchi pamoja na wadau wa lugha ya Kiswahili wamefanya...

Previous

Page 14 of 40

Next