Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

696 results for Rehema Matowo :

  1. Ukijiandikisha zaidi ya mara moja kupiga kura, kifungo kinakuhusu

    Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imewatahadharisha wananchi wanaofika kwenye vituo vya kujiandikisha na kutoa taarifa za uongo ili wajiandikishe kwa mara ya pili kwamba kufanya hivyo ni kosa...

  2. Askofu Kasala ataka INEC kuongeza siku za uandikishaji wapigakura

    Tume Huru ya Uchaguzi itaanza mzunguko wa pili wa uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapigakura itakayojumuisha mikoa ya Geita na Kagera kuanzia Agosti 5 hadi 11, 2024 ikitarajia kuandikisha...

  3. Tanzania yapata mtambo wa kisasa wa uchorongaji madini

    Geita. Tanzania imepata mtambo mkubwa wa uchorongaji madini ya dhahabu wenye uwezo wa kujiendesha, huku ukitarajiwa kuwa mwarobaini wa ajali mgodini na kuongeza uzalishaji wa dhahabu. Mtambo...

  4. Naibu Waziri ang’aka mradi wa maji kusuasua, atoa maagizo manne

    Geita. Naibu Waziri wa Maji, Kundo Mathew, amesema hajaridhishwa na utekelezaji wa mradi wa maji katika miji 28 baada ya kubaini kuwa ni asilimia 18 pekee ya kazi imekamilika. Akizungumza leo...

  5. Hukumu kesi ya Milembe yaahirishwa, sababu yatajwa

    Kesi hiyo namba 39 ya mwaka 2023 iko chini ya Jaji Mfawidhi Kelvin Mhina ambaye tayari amesikiliza ushahidi wa pande zote mbili na leo ilikuwa atoe hukumu.

  6. Hatima kesi ya mauaji ya Milembe wa GGM kujulikana leo

    Kwa upande wa mshtakiwa wanne Musa Pastory alidai hakuwahi kutoa maelezo polisi na wala hakuwahi kuwataja washtakiwa wengine popote, kwa kuwa hakuwa anawafahamu.

  7. Wajawazito walazimika kwenda na maji hospitali kujifungua

    Wajawazito katika kijiji cha Ikulwa kilichopo katika Kata ya Ihanamilo, Halmashauri ya Mji Geita wanalazimika kubeba maji kwa ndoo kwenda kupata huduma ya kujifungua katika zahanati ya Ikulwa...

  8. Apandishwa kizimbani kwa tuhuma za kumlawiti mtoto

    Geita. Mkazi wa Kijiji cha Bugogo kilichopo Wilaya ya Geita mkoani Geita, Rwaketa Herman (30), amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Geita kwa kosa la kumlawiti mtoto wa kiume mwenye umri wa...

  9. Sababu zatajwa Geita kubeba maadhimisho Siku ya Idadi ya Watu Duniani

    Tanzania inaungana na mataifa mengine duniani kuadhimisha siku ya idadi ya watu, leo Julai 11, 2024, ambayo kitaifa inafanyika mkoani Geita na mgeni rasmi katika maadhimisho hayo ni Naibu Waziri...

  10. Aliyetamani pacha wawili, ajifungua wanne

    Mkazi wa Nyankumbu, Wilaya na Mkoa wa Geita, Elizabeth Vicent (30) amejifungua watoto wanne ikiwa kama majibu ya maombi yake kupata watoto zaidi na matamanio ya mumewe ya kupata watoto pacha.

Previous

Page 15 of 70

Next